tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Leo nimebahatika kumsikiliza mtukufu wetu kwa bahat mbaya tu, nikiwa nanyoa saloon moja hivi, yalikua ni marudio ya hotuba ya chuo cha mliman kufungua hostel zinazojengwa. kuna mengi kaongea ya kujadili. Ila tujadili mawili , kama sio moja. Katka maongezi ya mtukufu katka awamu hii hamna kutangaza tenda za serikali ni mwendo wa kupiga simu TBA na ujenzi unaendelea
Nanukuu niliongea na makampuni ya nje wakaniambia b100, nikapiga cm kwa boss TBA akasema b12 nikamshusha had b10. Sahz nimewapa wajenge magomeni , dodoma nitawapa, na nimewapa na kujenga kule kagera!!
Na kipind cha likizo nitawapa majengo mengine hapa hapa mmalizie...!!
Mwisho wa kunukuu.
Yaan awam hii makampun hakuna haja ya kuomba tenda kuna mwenzenu kachukua zote bila kushindanishwa!
Hoja yangu nzito ipo hapa kutoka b100 had kupungua had kufika b10. Maana kwa swala la kutofata sheria za nchi hususan za namna ya kupata tenda kwa makampuni ya ujenz hiyo ni kawaida kwa mtukufu wetu. Swali la kitaalam, ni hili!!
Inawezekana kupunguza bei ya ujenz kwa 90% ikabakia 10%? Kuna usalama hapa?? Naona mwanya wa hatari hapa kwa sehem zote mbili. 1; kukubali kujenga kwa 10% ya bei majengo hayatakua na ubora!!
Na kama hiyo ndio bei yake ya 10% basi miradi mingine yote tunaibiwa . Tunaomba mkuu atuweke sawa!! Kuna majengo kibao yanajengwa na wachina.
Na makampuni mengine nje ya TBA ya mtukufu.
Yaan nijuavyo kila tenda ina kiwango cha juu cha mwenye project na kiwango cha chini, mjenzi haitakiwi azid hayo makadilio wala asipungue chini ya makadilio ya kiwango cha chini cha project. kauli ya mkuu kufurahia kupunguziwa toka b100 had b10 ya ujenz wa mabweni. sijaelewa kuna namna nchi hiii inavyoendeshwaaaa...............!!
Kwa wale ambao hamjasikiliza angalieni wenyewe hapa!!
Nanukuu niliongea na makampuni ya nje wakaniambia b100, nikapiga cm kwa boss TBA akasema b12 nikamshusha had b10. Sahz nimewapa wajenge magomeni , dodoma nitawapa, na nimewapa na kujenga kule kagera!!
Na kipind cha likizo nitawapa majengo mengine hapa hapa mmalizie...!!
Mwisho wa kunukuu.
Yaan awam hii makampun hakuna haja ya kuomba tenda kuna mwenzenu kachukua zote bila kushindanishwa!
Hoja yangu nzito ipo hapa kutoka b100 had kupungua had kufika b10. Maana kwa swala la kutofata sheria za nchi hususan za namna ya kupata tenda kwa makampuni ya ujenz hiyo ni kawaida kwa mtukufu wetu. Swali la kitaalam, ni hili!!
Inawezekana kupunguza bei ya ujenz kwa 90% ikabakia 10%? Kuna usalama hapa?? Naona mwanya wa hatari hapa kwa sehem zote mbili. 1; kukubali kujenga kwa 10% ya bei majengo hayatakua na ubora!!
Na kama hiyo ndio bei yake ya 10% basi miradi mingine yote tunaibiwa . Tunaomba mkuu atuweke sawa!! Kuna majengo kibao yanajengwa na wachina.
Na makampuni mengine nje ya TBA ya mtukufu.
Yaan nijuavyo kila tenda ina kiwango cha juu cha mwenye project na kiwango cha chini, mjenzi haitakiwi azid hayo makadilio wala asipungue chini ya makadilio ya kiwango cha chini cha project. kauli ya mkuu kufurahia kupunguziwa toka b100 had b10 ya ujenz wa mabweni. sijaelewa kuna namna nchi hiii inavyoendeshwaaaa...............!!
Kwa wale ambao hamjasikiliza angalieni wenyewe hapa!!