Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,492
- 2,472
Niliisoma hii habari, waliwaweka chini ya ulinzi hao wenye nyumba.. wakafanya yao wakawaambia wakipiga kelele watawaua... wakamaliza yao wakaosha vyombo wakaondoka na mizigo yao.hao wazuri hao wenye nyumba wako wapi.? au walikuwa na boss hapo hapo maana ni maajabu