DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,536
- 1,997
Wakuu wale wadau wa hiphop hebu andika amri moja hapa kutoka katika hii ngoma na uielezee unavyoweza kuitumia katika maisha yetu ya kila siku.Najua jamaa aliimba kuhusu 'Crack' ila hizi ni sheria zinazofanya kazi katika maisha ya biashara.Yangu ni hii.
Dont get high on youre own supply.
Hii jamaa anazungumzia kwamba usile mtaji wa biashara yako unayoifanya utaishia kuua biashara.Je yako ni ipi?
Dont get high on youre own supply.
Hii jamaa anazungumzia kwamba usile mtaji wa biashara yako unayoifanya utaishia kuua biashara.Je yako ni ipi?