Hii video inaongelea madhara ya madawa ya kulevya. Mhandisi wa Mawasiliano Bob Williams. Alijifunza kutumia Crack Cocaine kutoka kwa mchumba wake wa kwanza. Anadai kuwa alitumia dola 50,000 katika miezi tisa ya kwanza ya kuwa mraibu wa crack. Hiyo ni sawa na $165,478.55 katika pesa za leo...
Kenyan ride-hailing firm Little is expanding to Addis Ababa joining Safaricom and several other Kenyan firms in the race to crack the Ethiopian market that has so far remained closed to foreign firms.
Little chief executive officer Kamal Budhabhatti told Business Daily the firm will invest $5...
Human Rights Watch, shirikika la kimataifa la kutetea haki za kibinadamu, limeiangazia Tz kuhusu ukiukwaji wa haki za kibinadamu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba.
HRW inadai kwamba kwa muda wa miezi mitatu iliyopita wanachama wa upinzani 17 na watanzania wengine waliokashifu serikali...
Kuna kioo cha gari cha mbele.. kilianza kuwa na ufa mdogo.. siku zinavyokwenda ndio ule ufa unazidi kuongezeka.
Je, kuna jinsi ya kuzuia Huu UFA usiendeleee.. au kuna jinsi ya kuziba huu UFA?
Crack ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kwa kiwango kidogo sana cha Cocaine na kuchanganywa na Baking powder au amatriptayne (ATM).
Amatriptayne (ATM) ni dawa ambazo ukimeza lazima ulale.
Hizi hapa sababu chache zilizopelekea niache.
Tatizo la kusahau.
Hili tatizo lilikuwa likinipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.