GONGO BOY
Member
- Jul 18, 2026
- 94
- 187
Jaman sisi wa huku mikoani tembo imekua kero kubwa sana yaan kutwa nzima untembea na tembo hadi unaona kero,watu wanajiongeza wanalima bustani ili wajiajiri tembo wanakuja kula mazao yote na kuharibu mazao mengne
Serikali inatakiwa ichukue hatua mapema make vijana tunaweza kuchukulia kam fursa make sasa wamezidi ni mwaka wa tatu huu tunahangaika tunaomba serikali iziondoe huku
Serikali inatakiwa ichukue hatua mapema make vijana tunaweza kuchukulia kam fursa make sasa wamezidi ni mwaka wa tatu huu tunahangaika tunaomba serikali iziondoe huku