Tell Us About Your Weakness

Tell Us About Your Weakness

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Mimi nina madhaifu mengi ila udhaifu mkubwa nilionao siwezi kukaa sehemu ambayo haina hewa ya kutosha yaan Oxygen ya kutosha.

Namaanisha kama ukiniweka sehemu ambayo hakuna Oxygen ya kutosha hua nateseka sana tena sana natesekaaaaa, yaan unaweza ukashangaa umeniua bila kutarajia. Na nikijua tu hii sehemu hakuna Oxygen ya kutosha hua naitafuta Oxygen ilipo kwa hali na mali mpaka niipate nikiipata naanza kupata nafuu.

Tuambie wewe udhaifu wako ni upi?
 
Nimesema nilivyo mimi sio wewe, kuna kipindi nilikua mkoa X milimani kuna baridi Wazee wa kule wanavuta Tumbaku balaa aisee mimi na moshi wa Tumbaku ni km umenisogeza kwenye mlango wa Kifo ukiniweka dakika 10 nyingi kwenye ule moshi unaweza ukanikuta nimekufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom