Telekinesis

Telekinesis

hehehe umeona mtu kasoma tai-chi anafanya telekinesis.. watanzania kazi ipo! watu kama wewe hakuna njia ya kuwasaidia, imani ukiishika vibaya ndio inawapumbaza hivi.
Em nenda kasome mambo ya maana acha kupoteza muda na huu ujinga.
Kubishana na wewe nkupoteza nguvu nishastuka mapema.... Mpuuzieni huyu
 
Je naweza kutumia telekinesis kuongeza likes zangu JF?!😱

Humour for humour's sake, msipaniki.

Darasa murua sana anko Mshana😀
 
Invisible mm si mgeni.. Pass imenipotea kumkichwa baada ya kubadili cm .

Majanga....
 
Mi kazi ninayo, ndio maana sina muda kuamini ujinga huu, sasa swali linarudi kwako, umekosa kazi??
Unajielewa kweli wewe?Sasa kama una kazi kwa nini uandike.Acha ujinga huna kazi ndio maana ukapata muda hata wa kusoma mambo ya Mshana Jr.Nitolee ujinga hapa,halafu swali lako halina uhusiano na mada husika."Mi kazi ninayo, ndio maana sina muda kuamini ujinga huu,"Kazi yako inahusu nini na kuamini hii mada ya Mshana?Au unanitaarifu nijue kuwa una kazi sana?Acha ulimbukeni,ulishikwa kiuno uamini au?
 
We mwenyewe hapo umesoma huko huko kwenye hizo blogger acha kutusumbua na mshana wetu.Si ungeleta kabla yake..kudandia tu treni kwa mbelee ili tukuone unajuaaaaa...fyuuuuu.
Punguza mdomo mtoto WA kikeee
 
Naamini unacho kisema mpwa,mimi kama kuna kitu nitakipata keaho yake iwe pesa au chochote tu,rohoyangu huwa cler na nakuwa na furaha sana basi siku inayo fuata lazima nipate pesa,ama huwa najiambia lazima nifaulu huu mtihani basi matokro yakitoka nafaulu vizuri tu,majuzi niliitwa kwaajili ya mahojiano roho ikawa na amani saana matokeo yake nimepata trip ya nje
 
Naamini unacho kisema mpwa,mimi kama kuna kitu nitakipata keaho yake iwe pesa au chochote tu,rohoyangu huwa cler na nakuwa na furaha sana basi siku inayo fuata lazima nipate pesa,ama huwa najiambia lazima nifaulu huu mtihani basi matokro yakitoka nafaulu vizuri tu,majuzi niliitwa kwaajili ya mahojiano roho ikawa na amani saana matokeo yake nimepata trip ya nje
Mpwa usinisahau zawadi ukirudi tuwasiliane kabla hujaondoka
 
Back
Top Bottom