Telekinesis

Telekinesis

Nimekusoma ngoja tuone kama yaliyomo bado yamo
Huu uzi nimeukuta humu baada ya kusoma mtandaoni vitabu mbali mbali kuhusu haya mambo,

Ni baada ya kureason mechanism behind ktk utoaji wa mapepo,
Imenichukua muda mrefu sana kupata haya maarifa,

Now nimekuelewa,
Findings zangu na zako zinafanana.

Now naanza kukuelewa.
 
Huu uzi nimeukuta humu baada ya kusoma mtandaoni vitabu mbali mbali kuhusu haya mambo,

Ni baada ya kureason mechanism behind ktk utoaji wa mapepo,
Imenichukua muda mrefu sana kupata haya maarifa,

Now nimekuelewa,
Findings zangu na zako zinafanana.

Now naanza kukuelewa.
 
Huu uzi nimeukuta humu baada ya kusoma mtandaoni vitabu mbali mbali kuhusu haya mambo,

Ni baada ya kureason mechanism behind ktk utoaji wa mapepo,
Imenichukua muda mrefu sana kupata haya maarifa,

Now nimekuelewa,
Findings zangu na zako zinafanana.

Now naanza kukuelewa.
Ukiweza share nasi machache tafadhali

Jr
 
Hili chaweza kuwa kitu kigeni mno masikioni mwa wengi lakini ni kitu kilichopo Katika Ulimwengu huu
Telekinesis ni hali ya kuwa na uwezo na nguvu za kiasili za kuweza kunyanyua na kusogeza vitu kwa viungo vya mwili hasa mikono bila kuvigusaView attachment 299478
Telekinesis ni tendo la psychic ambalo ambalo uwezo wake ni uleule wa kusogeza vitu na kuvihamisha bila kuvigusa-psychokinesis

Sasa hiajalishi kama ni telekinesis au psychokinesis lakini matendo yote haya mawili ni sehemu mojawapo ambayo kisayansi bado yanaacha maswali mengi huku baadhi ya watu Katika tafiti na mabandiko yao wakizihusisha a nguvu za giza
Lakini ukweli ni kwamba mind/ufahamu wa binadamu ni kitu chenye nguvu mno na kwakweli tunachotumia ni sehemu ndogo tu ya nguvu ya ufahamu wote tukio nao... Kidini hasa katika Biblia takatifu hii nguvu inaitwa imani, na tunaambiwa ukiwa na imani ndogo tu isiyozidi ukubwa wa chembe ya haradali utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Hii imani katika Bible ndio telekinesis kwa upande mwingine

Sasa watu hujaribu kumiliki hizi nguvu kwa njia ya mkato au ya kujituma na kupractice, tunapoongelea mambo ya meditation, psychic powers n abilities yoga astral practice nk kimsingi Tunaongelea telekinesis katika secondary stage, baada ya kuchanganya na maarifa mengine Kama hayo
Lakini pia kuna wale ambao hupenda kumiliki nguvu za telekinesis kwa njia za mkato na hapa ndipo watu huingia mikataba na kuzimu na kufanya makafara huku wengi wakiingizwa kwenye dini ya mashetani ili tu aweze kufanya mambo kama hayo

Siku hizi tuna manabii na mitume wengi wanaofanya miujiza mingi hasa ile ya kuwapuliza tu watu na watu hao kuanguka au kunyoosha tu mkono au kidole na nguvu yake kuwaangusha watu.... Msidanganyike ile si nguvu ya kiMungu bali ni aina fulani ya nguvu za kitelekinesis na ki psychokinesis zilizochakachuliwa na mwishowe kuchomekea jina la Yesu kristo kupumbaza watu

Tuna waganga wa kienyeji pia wenye hizi nguvu, lakini huchanganya na mambo mengine ya giza na kuweza kuwapumbaza na kuwarubuni maelfu kwa maelfu

Telekinesis ya kiasili na isiyochakachuliwa haina madhara zaidi ya mtu mwenye hizi nguvu kuweza kufanya maajabu ya kusogeza vitu bila kuvigusa.... Dunia bado ina mengi na mengi bado hatuyajui... Usiunyime ufahamu wako maarifa bado kuna mengi huyajui
Sasa Mshana unataka kusemaje kwa wale watu ambao wana hali fulani ya mtu kufahamu mambo ya mtu pasipo kuwepo mfano upo sehemu x kuna mtu unaongea nae lakini utakavyo toka sehemu hiyo na kwenda sehemu nyingine na kukutana na mtu mwingine anazungumzia yale ambayo mlikuwa sehemu x ambapo mtu huyo hakuwepo sasa amejuaje au kuna nguvu fulani inayotumika?
 
Sasa Mshana unataka kusemaje kwa wale watu ambao wana hali fulani ya mtu kufahamu mambo ya mtu pasipo kuwepo mfano upo sehemu x kuna mtu unaongea nae lakini utakavyo toka sehemu hiyo na kwenda sehemu nyingine na kukutana na mtu mwingine anazungumzia yale ambayo mlikuwa sehemu x ambapo mtu huyo hakuwepo sasa amejuaje au kuna nguvu fulani inayotumika?
Hiyo ni yale mambo ya jicho la tatu nitakufutia mada yake

Jr
 
Back
Top Bottom