Tehteh inachekesha kuliko vichekesho vyote humu jamiiforum duh!

Pazi

JF-Expert Member
Mar 5, 2011
2,946
1,815
:frusty: HAKUNA KICHEKESHO KAFANYENI KAZI HUKO MTENGENEZE PESA! KAMA HUNA KATAFUTE. MUNGU ATAWAJALIA KUPATA.
 
Ndo upuuzi wa wabongo walio wengi......nani alokwambia muda wote ni wa kutafuta pesa. Kama ni hivyo kwanini basi umeumbwa usiku.
 
Ndo upuuzi wa wabongo walio wengi......nani alokwambia muda wote ni wa kutafuta pesa. Kama ni hivyo kwanini basi umeumbwa usiku.

Nimefurahi umeelewa hilo kama usiku umeumbwa usiku kwa mapumziko unaweza kusema kulala ila pia wapo walinzi wanafanya kazi usiku na wafanyakazi zisizotakiwa usiku(Wezi) ila usiumize kichwa sana kama anayejipiga kichwa kwenye matofali ya kuchoma hapo. Ni ukumbi tu wakuchekesha huu! wapo wanaonuna na wapo wanaocheka kama huna meno muazime bibi kizee ya bandia au kanunue!
 
HAKUNA KICHEKESHO
KAFANYENI KAZI HUKO MTENGENEZE PESA! KAMA HUNA KATAFUTE. MUNGU
ATAWAJALIA KUPATA.[/QUOTE]

Bana haujatulia ww ndugu!,ni kweli asiyefanya kazi na asile
 
Back
Top Bottom