Yumo Prosper Mbene na Shaban Gurumo.
Haya sasa mambo yanazidi kuwa mambo. Huyu Mkuu Wa ikulu Wa wakati ule anaponaje kwa mfano.
Ila samahanini, nilikuwa nimesahau hatufukui makaburi
=====
Ikumbukwe, Ikulu ilimtetea Prosper Mbena:
Mke wa Prosper Mbena (wa Ikulu) Alichukua TZS 2 Billion za ESCROW
Haya sasa mambo yanazidi kuwa mambo. Huyu Mkuu Wa ikulu Wa wakati ule anaponaje kwa mfano.
Ila samahanini, nilikuwa nimesahau hatufukui makaburi
=====
Ikumbukwe, Ikulu ilimtetea Prosper Mbena:
Mke wa Prosper Mbena (wa Ikulu) Alichukua TZS 2 Billion za ESCROW