Yaani ni kama mwanamume aliyelishwa Limbwata, anamfuma mkewe akimegwa lakini yeye anasema mke wangu mpenzi analikuwa anafanya mazoezi tuu. Mimi na yeye hadi kifo kitutenganishe.Mimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa
wataonewa dagaa tu,vigogo hawaweziMbunge wangu namwona hapo Wa kwanza kutoka kushoto
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
sehemu ya pesa hizo ilitumika kwenye kampeni ya kumwingiza jpm ikuluTulishasema hizi ni drama za jpm tu!
aanze kuwataja wale waliomo kwenye simba trust ndio tutamuona sio mpiga porojo!
ila masuala ya kusema eti fulani muacheni apumzike......
Haya ccm anandamaneni kumpongeza! kubafuuuu!!
Wewe Gulwasehemu ya pesa hizo ilitumika kwenye kampeni ya kumwingiza jpm ikulu
Hawezi. Wanasomaga content wakishaona hatari ni kubwa, wanamute. Wanachowexa kufanya kama Jamhuri wana info za ukweli, ni kuwaita na kuwatisha/kuwanyamanzisha.Mwakyembe akilifungia hili gazeti ataondoka nalo
Katika kila chama kuna wezi sasa hivi ndani ya CCM tunawashughulikia wabaki wasafiMimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa
Watanzania wanahitaji kuombewa.Mimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa
Na wengi wao ni maskini wa kutupwa bado tisheti walizopewa kwenye kampeni ndio mavazi yao ya mtokoYaani ni kama mwanamume aliyelishwa Limbwata, anamfuma mkewe akimegwa lakini yeye anasema mke wangu mpenzi analikuwa anafanya mazoezi tuu. Mimi na yeye hadi kifo kitutenganishe.
Nasikia gari lilisomba mara mbili.
Kabisa mkuu na Mwenyezi Mungu atusamehe tulipo kosea maana hizi ni ila za shetani