Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
haya sasa wale CCM waliosema ESCROW sio pesa za umma njooni muendelee kutetea huu ufisadi uliofanyika Ikulu.
haya sasa wale CCM waliosema ESCROW sio pesa za umma njooni muendelee kutetea huu ufisadi uliofanyika Ikulu.
Shetani anaweza akawaruka, akasema hawa si wafuasi wangu.Kabisa mkuu na Mwenyezi Mungu atusamehe tulipo kosea maana hizi ni ila za shetani
Nachojua katika magamba kila muhula una wezi wake na ufisadi wake ngoja huu uishe ndio mtaona ufisadi wa kila namna utakavyo funuliwa ccm ni ile ileKatika kila chama kuna wezi sasa hivi ndani ya CCM tunawashughulikia wabaki wasafi
Siyo shaban kweli?Atakua yule mshikaji mnadhimu au mnikulu aliestaafu ndie alitoa gari.
Hili la kupambana na rushwa Magufuli baba tunyooshe. Umeonyesha kua uwezo na nia unazo za kupambana na wezi.
Kama hizi hela hazikua za wizi kwa nini zilichukuliwa kwenye masandarusi na mabegi. Hela halali ukazichukue kwa kujificha?
Baba tunyooshe.
Tatizo ni wanaishi kwa unafiki ndio shida yenyeweHao ni wapambe tu sio kwamba wanaimani nayo, wenyewe roho zinawauma ila hamna jinsi watapatia wapi hela za mboga
Mpaka sasa hivi kauli rasmi ya Serikali iliyotolewa na Mkuu wa nchi wakati huo ni kuwa zile zilikuwa pesa za watu binafsi. Hivyo suala kuwa mtu alibebaje zake binafsi au alitumia mfuko gani kubebea haliwezi kuwa ni hoja ya msingi hapa.Kama fedha zilikuwa zao halali kwanini wakachukue kwenye "visalfeti"? Hao nao waswekwe kwa utakatishaji.
Tulishasema hizi ni drama za jpm tu!
aanze kuwataja wale waliomo kwenye simba trust ndio tutamuona sio mpiga porojo!
ila masuala ya kusema eti fulani muacheni apumzike......
Haya ccm anandamaneni kumpongeza! kubafuuuu!!
amekutajia wawili sasa kama unataka kujua aidi kanunue gazeti!Mwakyembe akilifungia hili gazeti ataondoka nalo
We tukana tu ila mhusika mkuu wa ikulu ya wakati huo ana kinga ya kufa mtu na huyu wa sasa ni aheri asingefukua baadhi ya makaburi.Sijui nitukane au nikae kimya gari la ikulu? Muda mwingine ni bora Magufuli akiwa mkali
Mimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa
Naona Singasinga amekupenya haswaaa. Hakutoki mawazoni mpaka akilini mkuu!Alafu mtu anasema seti maraisi waliopita wasitajwetwaje!!