sibusiso dlomo
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 690
- 384
we unadhani mh Mkapa anavyotuita "WAPUMBAVU" anakosea? Lowassa aliposema ELIMU ELIMU ELIMU hakukosea...ccm hawana kura nyingi kwenye miji iliyo na elimu nzuri,hata halmashauri nyingi ni za upinzani kwa sababu UONGO wao hausaidii tena.Mimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa