Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Sasa kwa Nini wanatuchezea Isidingo?Kila mzigo unaoingia bandarini una CONSIGNOR (aliyetuma) na CONSGNEE (mpokeaji). Kifupi mwenye vichwa hivyo anafahamika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa Nini wanatuchezea Isidingo?Kila mzigo unaoingia bandarini una CONSIGNOR (aliyetuma) na CONSGNEE (mpokeaji). Kifupi mwenye vichwa hivyo anafahamika.
Hii kinga tupewe tafsiri nzuri na wanasheria. Hawa wakuu wa nchi wanaoshitakiwa the Hague huwa hawana hizo kinga? Kama kinga zipo kwa mahakama za humu ndani basi kesi zinazowahusisha zihamishiwe kwenye mahakama za kimataifa.Rais Magufuli ataamua, kesi hii hashindi bila ya kumubuluza Kikwete. Inawezekana kuibadilisha Katiba na kuondoa kinga ya Rais. Sasa ni kati ya watu wachache na Watanzania milioni 50. Tanzania ni yetu wote.
Chama kinachoficha wezi na waporaji hakiwezi kukwepa lawama.Unapohusisha vyama kwenye wizi kama huu ndipo tunakosea! Hakuna wizi wa kichama bali individual. Uhusishwaji wa chama ni mbinu za mafisadi kujisafisha. Tuwe macho
Genge la wezi na wanyang'anyi. Lazima kulinda maslahi yao, iko siku watatoa hesabu zao.Mwakyembe baada ya kujua kuwa kwa ukata huu wananchi wanaonunua magazeti ni wachache basi akakataza redio kusoma contents za habari kwa undani bali vichwa tuu. Redio inasikilizwa na wengi, yote ni kuficha mambo kama haya.
siyo kweli, nachojua ni kuwa amid escrow saga alipigwa risasi akitoka town kuelekea nyumbani kwakeDuh! Huyo Mbene alikuwa katibu binafsi wa Mkulu wa Kaya!!!
Mkuu ccm hawataki? Hivi wewe umewahi kujiuliza why katiba mpya ilishindikanaWavunaji wa mgawo
Zikikaa upande wako unapiga, hizi ni unexpected risks.
Wengi tu wali-, wana-, wata-babua hii migawo Haramu. Kuna haja ya kureview baadhi ya government official documents zinazotoa loop-hole.
Vinginevyo hizi ni isidi-telemundo
Hizi ni mbinu wanazotumia watakatishaji wa fedha haramu. Pitia sheria za fedha mkuu.Kwani walichukua kiasi gani kwenye hiyo mifuko? Mimi naona watu wakiongelea mifuko kana kwamba ni dhambi mtu kuweka pesa yake kwenye mfuko.
Mkuu ccm hawataki? Hivi wewe umewahi kujiuliza why katiba mpya ilishindikanaWavunaji wa mgawo
Zikikaa upande wako unapiga, hizi ni unexpected risks.
Wengi tu wali-, wana-, wata-babua hii migawo Haramu. Kuna haja ya kureview baadhi ya government official documents zinazotoa loop-hole.
Vinginevyo hizi ni isidi-telemundo
Siasa za matukio ndio zinatuyumbisha nchi hii. Ukitaka kuzima moto wa makinikia unalianzisha la escrow, ukiona escrow inataka kufagia watu muhimu unarudisha makinikia ulingoni. Watanzania tunafuata upepo tu wa siasa.Ngoja tuone hii movie.Huenda nayo ikaishia kusubiri uchunguzi kama zinavyoisha zingine.
1. Zilichotwa kipindi cha harakati za uchaguzi na kugawiwa kwa wadau wa chama kimojaT
hibitisha kauli yako gulwa
Ndugu yangu kila chama kina mafisadi. Hakuna chama chenye uafadhali. Vita ya Mafisadi iwe nje ya vyama. Katika CCM wapo, Chadema wamejaa, ACT hao akina zito ni wapiga dili (tumekuwa naye akiwa hohehae na anatubomu kwa sasa baada ya kuingia bungeni akaendesha hammer, kweli hapo hakuna ufisadi. Vijana mnadanganywa tu, niendelee?
Ruge anatakw kutaja wanamzuia,haaa haaaa Kikwete kachonga mwenyewe hili nyago haaaa haaaa analoBado hajashikwa mtu tu?
Huyu Rugemalila alindwe sana huko sero .Ruge anatakw kutaja wanamzuia,haaa haaaa Kikwete kachonga mwenyewe hili nyago haaaa haaaa analo