Wanajua siri iliyo kati yake na bashiteAlafu mtu anasema seti maraisi waliopita wasitajwetwaje!!
Hawawezi kulifungia kwa kuwa linatumika kumgonga JK!mwakyembe asingekuwa kwenye msiba angewafungia hao leo hii
Yumo Prosper Mbene na Shaban Gurumo.
Haya sasa mambo yanazidi kuwa mambo. Huyu Mkuu Wa ikulu Wa wakati ule anaponaje kwa mfano.
Ila samahanini, nilikuwa nimesahau hatufukui makaburi
View attachment 544873
View attachment 545346 View attachment 545339 View attachment 545338
=====
Ikumbukwe, Ikulu ilimtetea Prosper Mbena:
Mke wa Prosper Mbena (wa Ikulu) Alichukua TZS 2 Billion za ESCROW
Kama ikulu inahusushwa kwenye huu ufisadi ni kwanini kikwete anaachwa?
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Unapohusisha vyama kwenye wizi kama huu ndipo tunakosea! Hakuna wizi wa kichama bali individual. Uhusishwaji wa chama ni mbinu za mafisadi kujisafisha. Tuwe machoMimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa
Hujaona wammtaja marwa ambaye ni mkwe wa nani vile?Tulishasema hizi ni drama za jpm tu!
aanze kuwataja wale waliomo kwenye simba trust ndio tutamuona sio mpiga porojo!
ila masuala ya kusema eti fulani muacheni apumzike......
Haya ccm anandamaneni kumpongeza! kubafuuuu!!
Tulushambiwa tusintaje huyoKama ikulu inahusushwa kwenye huu ufisadi ni kwanini kikwete anaachwa?
sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Ccm ni ile ile ,jana na leoNachojua katika magamba kila muhula una wezi wake na ufisadi wake ngoja huu uishe ndio mtaona ufisadi wa kila namna utakavyo funuliwa ccm ni ile ile
Mwakyembe baada ya kujua kuwa kwa ukata huu wananchi wanaonunua magazeti ni wachache basi akakataza redio kusoma contents za habari kwa undani bali vichwa tuu. Redio inasikilizwa na wengi, yote ni kuficha mambo kama haya.Hawezi. Wanasomaga content wakishaona hatari ni kubwa, wanamute. Wanachowexa kufanya kama Jamhuri wana info za ukweli, ni kuwaita na kuwatisha/kuwanyamanzisha.
Kweli aisee na wewe ndiyo mfano waoToka lini gazeti la kufungia vitumbua ndio likawa ushahidi,Watanzania tunazidi kuwa watu wa hovyo hovyo
mama obama hakuna lolote litakaloelezwa ccm ni ileile..............Angalia watu anaowaelewesha wako hoi, hawaelewi anavyosema, wala hawana ngumu za kumuhoji, Pamoja na HOTUBA yake, gali la ikulu lilikuwa linafanya nini? Kubeba pesa za TEGETA Escrow. Watanzania tumedanganywa vya kutosha. Na kama haya yote anayoyasema Kikwete ni ya ukweli, mbona Magufuli kawaweka chini ya ulinzi Singa Singa na nwenzie? Kikwete asikae kimya atuelezee ilikuwaje?
Kwani walichukua kiasi gani kwenye hiyo mifuko? Mimi naona watu wakiongelea mifuko kana kwamba ni dhambi mtu kuweka pesa yake kwenye mfuko.Kuna limit ya kiasi cha pesa unachoweza chukua kwa cash. Kikizidi lazima uchukulie bank ili kuacha record. Hawa hawakutaka kuacha record ndiyo maana wakachukulia kwenye mifuko. Tena siyo mto mmoja watu wengi wanaenda kuchukua pesa kwenye source moja kwa kutumia mifuko lazima watu wenye akili waone kuwa ni hoja ya msingi.
Ndio maana kati ya Watanzania wanne mmoja ni taahira huu utafiti hauna shaka, eti jana wakati Seth anaiba tuliambiwa haibi fedha ni zake leo walewale wanasema Seth aliiba, halafu tunawaita mashujaa kama si utaahira!Mimi nachosangaa tu kuona Watanzania wakiwa na imani na ccm tena kutaka iendelee kuongoza baada ya miaka 50 ya kutufikisha hapa