Hata mimi nashangaa sana kwa elimu na uelewa alokuwa nao mheshimiwa masele ni AIBU AIBU AIBU KUBWA SANA KWA RAIS wetu kupa mtu huyu kitengo nyeti kama hiki jamani,Certificate mpaka degree UDSM? siwezi kukubali ama kukataa wana jamvi ila masele ni mwizi mzuri mwenye shule ndogo na ya kuunga unga huku watanzaniaWale wa UD... oh mtu anamove from certificate hadi DEGREE!!!
Huu elimu ya Maselle ni magumashi hasaHivi kwa nini Mawaziri wengi wa Kikiwete wana elimu za kuunga unga ..........................!!?
Duh kweli kila shetani na mbuyu wake
acha porojo laizaAcha fitna zako wewe inkoskaz...sasa unataka kutuaminisha kuwa masele ndiye aliyechora dili???? jamani jaribuni kujikita kwenye shughuli za maendeleo na sio fitna za majitaka kama hizi...Mbona wewe pia ulifanya kazi Stanbic tena ukatimuliwa kwa udokozi mbona hatusemi???
Huu elimu ya Maselle ni magumashi hasa
juzi Nassari alisema walipokuwa Marekani Maselle alisoma risala kwa niaba ya vijana 500 kwa kuwa Maselle alisoma Chuo kimojawapo huko USA
Leo tena CV yake inarudi na magumashi tupu
- huwezi toka na Certificate ya Ualimu IIIA hadi UDSM kwenye BA kbla ya kupitia DIPLOMA au hata DUCE angalau
- bado Primary ina walakini pia
Na huko Mkombozi nani aliwahi kufanya kazi?
Na huko Mkombozi nani aliwahi kufanya kazi?
Na huko Mkombozi nani aliwahi kufanya kazi?