Tecno wana vitu vichache tu vya kurekebisha ila zitakuja kuwa simu kali sana kwa baadaeMimi ninetumia sana Sumsung tatizo chaji, unakuwa unatembea na power bank utazani kama Hajar anavyotoka na mkoba, Tecno ya kwanza kutumia ilikuwa Camon 6+ nashukuru ilikuwa inakaa na chaji siku nzima na natumia mtandao hadi porini inashika kuliko hata waliokuwa na Iphone, kwasasa natumia Camon 8 iko vizuri. Ila nataka nirudi kwenye Samsung au nichukue IPhone ingawa kwa kazi nazofanya kudongosha simu kitu cha kawaida hapo nawaza hasara pia.
Mulikeni sana msijekanyaga pasipokanyagwa.na sisi watumia vitochi
mi natumia siemen mayai
🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎apple
Nimekupata mkuu, sasa hapa niulize chochoteComent zenu zinakaa kwa kushoto mkuu
To be serious nimevuta J7 core mwezi april, sasa hapa nnapoitumia saiv ina 39% hiyo ni baada yakuichaji jana asubuh. Na nimezurura sana mitandaoni.Mkuu kuna simu inayokaa na chaji kuipita tecno ?
ha haaaaWale wa IPhone tunaweka wapi Reply zetu?
Nakusaidia, zipo nyingi tuuHahaaaaa. Hapo nitashindwa kutoa ushahidi sababu mie huwa naamini matumizi ndio yanafanya simu ikae na chaji au kutokaa na chaji.
Huwezi sema Tecno inakaa na chaji wakati kutwa nzima upo job na ikitokea umeperuzi simu basi ni muda wa breakfast au lunch.
Kila simu inakaa na chaji kikubwa ni aina ya matumizi tu.
Ni kweli mkuu, ila naamini wanapnga kwa sababu zilizo wazi.Watu wa samsung na i phone wakija hapa lazima wapinge tu mkuu?
haha we mkuu Mungu anakuona ujue hiyo reply yako umeiwekaje hapo??😀😀Wale wa IPhone tunaweka wapi Reply zetu?
Kabisa mkuuNi kweli mkuu, ila naamini wanapnga kwa sababu zilizo wazi.
Nimewah kuwa na mawazo yakusema matumizi ya tecno na sumsung/iphone ni yale yale, na nikaongeza kwakusema mengine ni ufahari na ulimbukeni wa majina ya kampuni, ila trust me niliiona tofauti nilipotumia brand zote, ni tofauti kubwa sana
Izo kamaWatu wa samsung na i phone wakija hapa lazima wapinge tu mkuu?