Tecno User Vs Samsung and iphone user

Umeongea vema...ndio najarbu kuwaelewesha wenzangu tunaotumia alhaj tekno waelewe
 
Umeongea vema...ndio najarbu kuwaelewesha wenzangu tunaotumia alhaj tekno waelewe

Watu bwana, sio kila ukweli unaweza kuwa ndio ule unaotaka kusikia, kuna wakati lazima tukubali uhalisia wa jambo, katika biashara kuna kitu kinaitwa "targeted customers" hili ni jambo muhimu sana! Majority ya simu za tecno huuzwa Africa, i said majority na "sio kwamba hakuna tecno zinazouzwa elsewhere". Mie mwenyewe natamani kutumia I phone X ila hiyo bei yake kwa sasa sijaweza kuifikia ninaendelea kudunda na S7 edge yangu. Kama kuna binadamu asiyependa kitu kizuri huyo atakuwa ana dosari sehemu fulani. Ni wazo langu tu
 
Sio wazo lako tu,ni wazo langu pia mkuu.
 
Binafsi nmetumia tecno h6 for 3years now natumia Samsung J7 pro ila sijaona tofauti kubwa baina yao, tofauti kubwa ni majina tu
 
Binafsi nmetumia tecno h6 for 3years now natumia Samsung J7 pro ila sijaona tofauti kubwa baina yao, tofauti kubwa ni majina tu
Bora wewe umekuja kutoa ushuhuda hao wenzio waamini
 
Yaani unatumia simu mpaka inafikia 480 mb alafu bado unalalamika ikiwa inastack ?

Simu unaigeuza laptop mkuu?
Bro, nishatumia iphone, kitu hakina hana kb moja ilobaki kwenye storage, nlikuwa naweza kupiga screenshot na ikawa saved, nilikuwa naweza kupokea sms bila waswas, na ilikuwa haistuck kabisa. kitu ambacho ilikuwa siwezi kufanya ni kuchukua picha na video na kudownload apps. We unaona kawaida simu kubakia 480mb ikisha ikawa ina stuck? unazijua 480mb lakini au umeona kb wewe? una explain vipi sms ya kb inashindwa kuingia kwenye simu ambayo ina mb za kutosha zimebaki?

Tatizo simu za android na hasa hawa akina tecno na wenzao, wanatumia chip za ovyo na akisha wanaweka program za kipumbavu kama cleanup na nyengine zisizokuwa na maana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…