Hahaaaaaaaa ππππEmbu iandike kwa kiswahiliunatumia eye fon?
Vyuma nganganga mkuu ππWe ni mgumu kinyama cha muhimu mawasiliano yawepo
Isije kua chai tena ya baridi.. P5 haina 4g aisee...TECNO P5 MKUU.
Hihiiiiiiiihiiiiii tunakuona live kabisa bila chengachenga ππππππmleta uzi nipe mkono.
mm natumia tecno s1 tena promotion tigo.
lakini nacomment hapa mnaona hamuoni
nna playstore/3G/android version
mh sikupanga kuchangia ila ngoja nichangie,INA maana iPhone zinaongeza akili,ngoja twende mirembe tukawagawie vichaa wote iPhone iwe tiba.Kwanza jina tu iphone! DaamnοΈοΈ linavutia! Ukija logo yake pale nyuma daah! Hatari sana! Ukija kwenye security hatuna mpinzani iphone unaweza ukaitrack hata kama imezimwa! Ukiibiwa dont worry kuhusu data zako coz mpaka FBI walifeli kucrack ka password tu cha kufungulia! Kwahyo mwizi atafaidika na spare tu, ukija camera kama jicho la eagle mamaΒ£ hata ukizoom quality inabaki pale pale, ukija kwenye umbo na kabisaaa! Madada wengi wa mjini wameliwa kwa sababu ya iphone sijawahi kusikia demu kaliwa kwa kuhongwa tecno! Mwisho kabisa Watumiaji wote wa Iphone ni akili mingi. Ila tecno hata beki 3 anamiliki! Wazee wa Tecno utawasikia wanakwambia iphone zipo complicated saana
Hahaaaaaaaa ππππEmbu iandike kwa kiswahili
Hahaaaaaaaa ππππEmbu iandike kwa kiswahili
mh sikupanga kuchangia ila ngoja nichangie,INA maana iPhone zinaongeza akili,ngoja twende mirembe tukawagawie vichaa wote iPhone iwe tiba.
Sema duniani kuna aina mbili tu za malimbukeni type ya kina myweather nao ni watumiaji wa I phone na Sumsung wanaoponda simu zingine eg Tecno
Hilo jiwe toka mwaka juzi nnalo maf mushkelNatumia tecno w5 lite,wadau iko vipi hiyo
Labda inawezekana ila kuna tecno mimi niliitumia miaka mitatu na ilikuwa fresh sana tena utunzaji wangu ni mbovuUmeonaeee. Hazina maana hizo simu.
Itakuwa zero Iq anazisifia sababu hajakutana na madhila yake.