Tecno User Vs Samsung and iphone user

True say mkuu tecno H6 iz best Tecno phone ever
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
Dada umetuachia brand yetu pendwa?
 
Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
ilikuwa setting babu ,huende uliipa 3G tu na huku kwenu ni nje ya mji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…