Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
55,027
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!!

Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe.

"zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa nisahau"
 
We umejua leo? Mbona kitambo wapo hivyo
 
We nenda kachukue hao wengine, nao kuna sku utawaambia byebye.
 
Sasa hutaki kueleza, kwan sisi vichaa tukuelewe bila kueleza? Acha sifa za kijinga
imekufa system charger na network ndo kabisaaaa hata haifanyi kazi ,nimekaa hapa natazamana nayo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
b

bora ingelipuka ila kwa jinsi ilivyokufa nimebaki mdomo wazi , ilianza kufa system charger ikafatia network yaan hapa ni miezi minne toka niichukue ni tecno c8

kivipi?

Peleka Tecno service center utatengenezewa bure kabisa. Kama upo Dar nenda kwenye jengo lao liko nhc house barabara ya samora
 
imekufa system charger na network ndo kabisaaaa hata haifanyi kazi ,nimekaa hapa natazamana nayo.
Acha kutafta kiki bila sababu, kwan kuharibika system charger ni coz of tecno? By the way umepewa ushauri wa kwenda tecno service center
 
b

bora ingelipuka ila kwa jinsi ilivyokufa nimebaki mdomo wazi , ilianza kufa system charger ikafatia network yaan hapa ni miezi minne toka niichukue ni tecno c8

kivipi?
itakua uliuziwa famba mimi nina3c8 Leo imetimiza mwaka iko mma kabisa haina tatizo lolote lile.
 
Acha kutafta kiki bila sababu, kwan kuharibika system charger ni coz of tecno? By the way umepewa ushauri wa kwenda tecno service center

hahahaha nicheke kwa dharau na kejeli !!!!! mimi nitafute kiki kwa tecno kwa kisa kipi? afu kuna matatizo mawili hapo na wewe acha kutafuta kiki humu kwa uelewa bandia kama wa tecno.
 
Hizi thread sasa Mods muwe mnaziangalia, mtu akijisikia tu anaanzusha thread. Haina kichwa wala miguu, kila ukiingia humu ukitoka thread ni Tecno tangu 2013.
Mods hamieni na huku bana mtoke huko jukwaa ka siasa.
Jukwaa letu huku lina dorora kila siku.
 
b

bora ingelipuka ila kwa jinsi ilivyokufa nimebaki mdomo wazi , ilianza kufa system charger ikafatia network yaan hapa ni miezi minne toka niichukue ni tecno c8

kivipi?
Nenda ofisi zao pale, samora nhc house, Kama bado ipo kwenye warranty wakutengenezee, hakuna kifaa cha electronic kilicho perfect, cwez acha kutumia tecno. I'm a die hard fan of them
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom