Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

kwani ujasikia kuna interviews itaendeshwa pale uwanja wa Taifa kwa watu wote TZ wanaotumia techno nenda kajumuike nao
 
Haahaaaaa Fans wa Tecno wamejaa upepo
 
Tecno kwa ubora wa betri zake unajulikana

Sasa kama ulikuwa unaitumia vibaya ni juu yako pole
Samsung Galaxy 7 zinalipuka kuliko hiyo yako ya Tecno moja??
Simu yenyewe ya bei ya kawaida ndo unatoa matangazo..!
Ungekuwa na ile simu ambayo ni transparent si ndo ungekunywa sumu
 
Nenda ofisi zao pale, samora nhc house, Kama bado ipo kwenye warranty wakutengenezee, hakuna kifaa cha electronic kilicho perfect, cwez acha kutumia tecno. I'm a die hard fan of them
Nilianzana tecno A7 (Phantom Z mini) sasaivi nina Phantom6. bado sana hujaniambia niachane na tecno. Kwanza inakaa na charhe kwa muda sana hata kama umewasha data. kuchaji ni 30mnts full hata kama ilikuwa empty kabisa
 
Kama uliroot simu kama uliflash au kama unajaza ma apps mengi kuliko uwezo wa ram lazima ife
 
b

bora ingelipuka ila kwa jinsi ilivyokufa nimebaki mdomo wazi , ilianza kufa system charger ikafatia network yaan hapa ni miezi minne toka niichukue ni tecno c8

kivipi?
sio mtunzaji sim....tecno mdogo angu anayo j7 huu mwaka wa3 na haijawah msumbua kwa lolot
 
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!!

Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe.

"zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa nisahau"
Hahahaahha tecno nilikuwa nasikiliza music kutoka coco kwenda home nimefika ostabay ikazimika, haijawaka hadi leo nimewapelekea wameniambia niwape 80k Huo ndo ulikuwa mwisho wa kutumia tecno
 
Kwa upande wa simu brand ya Samsung salute kwao. Ikizingua sanaaaa labda battery utakuta umevimba tu
 
nimeamini leo ila niliambiwa nikafikiri wanasingiziwa ila sasa hv nimeamin ni mabomu
Tecno ni cm mbovu sana na vifo vyake ni vya ghafla inaweza ikazima tu ghafla ukiiwasha screen inawaka tu nyeupe inablink. Alafu mbaya zaidi care center zao hawawezi kutengeneza hlo tatzo
 
Kuna simu nilikua natumia uwiiiii majanga
 
Sio simu madhubuti hzo nna tecno m6 imegoma kila kitu, haiwaki mejarbu peleka kwa mafundi hata tatzo halijulikan.... ina mwaka tu
 
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!!

Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe.

"zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa nisahau"
Pole mkuu,najua umeteketeza akiba yako ya mchagoni.
Ni tecno gani hiyo iliyokuzingua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom