Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

Nilianzana tecno A7 (Phantom Z mini) sasaivi nina Phantom6. bado sana hujaniambia niachane na tecno. Kwanza inakaa na charhe kwa muda sana hata kama umewasha data. kuchaji ni 30mnts full hata kama ilikuwa empty kabisa
Mkuu naitaka sana phantom 6 naomba unijulishe kidogo kuhusu betri yake nimeambiwa kuwa ni ndogo but nataka kujua kwa matumizi moderate unaweza tumia masaa mangapi?? Z-min ninayo ni zaidi ya mwaka sasa.
 
Hahahaahha tecno nilikuwa nasikiliza music kutoka coco kwenda home nimefika ostabay ikazimika, haijawaka hadi leo nimewapelekea wameniambia niwape 80k Huo ndo ulikuwa mwisho wa kutumia tecno
Ulinunua dukani ikiwa unopened kwenye boksi lake au kwa mtu??
 
Nilianzana tecno A7 (Phantom Z mini) sasaivi nina Phantom6. bado sana hujaniambia niachane na tecno. Kwanza inakaa na charhe kwa muda sana hata kama umewasha data. kuchaji ni 30mnts full hata kama ilikuwa empty kabisa
Hahaha unanitamanisha mkuu mimi nina Phantom Z, naitamani Phantom 6+,jamaa wako vzur tatzo watu tumekalili na kuamini ukiwa na Samsung au iPhone wewe ndo mjanja wakati ni mateso tuu mda wote power bank
 
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!!

Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe.

"zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa nisahau"
Janga moja umegenetise kote. Tatizo kama hilo laweza tokea hata kwa iPhone. Mimi nina H6, second year sasa. Na inakaribia mwaka wa 3, sijawahi badilisha battery wala nini, na ipo rooted. Baba yangu anatumia j8 na c5, hajawahi bata tatizo, mwaka umefika.

Kama sio fake version yake, basi walikuuzia fault device. Inatokeaga. Jaribi kununua nyingine kabla haujaaga Tecno.

-callmeGhost
 
Mimi nina Tecno H7 nilinunua Sept 2014 ,mpaka leo nimebadili betri tu baada ya kuitumia for 2 yrs ,,,,,,,,sina la kulalamika mkuu . Simu ipo ok
 
Kwahiyo kama mkeo ni malaya ndio wanawake wote au?

Acha mihemuko na hisia, au ulijua umenunua simu ya kudumu miaka mia?
 
Je sisi tulioko wilayani si ndio tumeumia hakuna service center
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom