Tecno spark k7 na k9 balaa lingine kutoka tecno

Tecno spark k7 na k9 balaa lingine kutoka tecno

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,717
Reaction score
13,439
Wakuu juzi Kati nimeingia town nikachukua guy mzigo
1bf6ec61bdf07f316d49976f2011081b.jpg


Nice techno spark k7 , nawaona tecno Sasa wamejirekebisha cuz mzigo upo vizuri kuanzia kiioo, camera vyote vipo clear

Wamejiongeza na kuweka finger sensor ambayo utasajili vidole vyako kwa ajili ya security

Na bei ina unafuu

Huko kwenye betri ndio wameuwa mzigoo unatunza chaji hatare
 
Wakuu juzi Kati nimeingia town nikachukua guy mzigo
1bf6ec61bdf07f316d49976f2011081b.jpg


Nice techno spark k7 , nawaona tecno Sasa wamejirekebisha cuz mzigo upo vizuri kuanzia kiioo, camera vyote vipo clear

Wamejiongeza na kuweka finger sensor ambayo utasajili vidole vyako kwa ajili ya security

Na bei ina unafuu

Huko kwenye betri ndio wameuwa mzigoo unatunza chaji hatare
Bei nafuu tsh ngapi?
 
Back
Top Bottom