Ubaguzi huo mkuu!endelee na ulimwengu wenu uo# mimi nlikua na samsung note 3 nkabadili niko iphone 6 najipiga nipate iphone 8+ au x...techn n simu ambazo sitakuja tumia..maisha yangu yote...sijui nazionaje
hahahahhah we kuz bigup. Umeua manumekataa tecno afu umenunua infinix hao ni kama nyani na ngedere
![]()
![]()
![]()
![]()
We jamaa mxng sana hahahahahaBora nyani mjanja kidogo ila ngedere ni sawa na kima
Mkuu Bora Nyani (Infinix) kuliko huyo kima (Tecno)Ahahah
We jamaa mxng sana hahahahaha
Yeh kuna li infinix note 4 analo shemeji angu nmeicheki ipo vizuri hata graphics zake zinavutia. Ile optimization yao ya XoS ni nzuri kuliko ile HioS ya tecnoMkuu Bora Nyani (Infinix) kuliko huyo kima (Tecno)
Sanaa mkuuTecno ni mkombozi kwa kizazi hiki. Tukumbuke watu wa hali ya chini wana farijika na Tecno kuanzia zile za Batani hadi kupangusa. Bila ushindani huu sidhani kama Makampuni makubwa wanhelikua wana shusha bei sim zao. Tacno mkombozi Africa na Tanzania kiujumla.
umekataa tecno afu umenunua infinix hao ni kama nyani na ngedere
![]()
![]()
![]()
![]()
kazi kweli kweliNi sawa na kuwa na duka la mangi mlimani citySiwapati GSM ARENA hawa Tecno sijui ni kwanini?
Una kichaa wewe. Hujui kama tecno, itel na infinix ni kampun moja wote wanatumia soc za mtkTecno hata watoe Gari siwezi kuwaamini, Ngoma Infinix Note 3 Pro ichukue uone Tofauti.
Bei sh ngapi?!Mkuu Mimi nimechukua hii k7 ni balaa.. Ina finger sensor yani hatare
Sh ngap tupia sifa zakeMimi on meridhika na itel s 11 INA ubora wa hali ya juu
Bei yake nafuu mno
CX sh ngap mkuuCx is better more than k7 ila mm natumia K7 sio mbaya kwa maisha haya yetu
Hiyo sh ngap MkuuNi kweli mkuu, mimi natumia Tecno Cammon CX Air, ni best phone kwa matumizi ya kawaida ukilinganisha na bei, lakini haiondoi ukweli kwamba Tecno specs zao siyo reliable, ndo maana GSM Arena hataki kuwajadili.
Shida Hujui Kipato Changu Cha Siku week Mwez Mwakaendelee na ulimwengu wenu uo# mimi nlikua na samsung note 3 nkabadili niko iphone 6 najipiga nipate iphone 8+ au x...techn n simu ambazo sitakuja tumia..maisha yangu yote...sijui nazionaje