Albert Alinanuswe
Senior Member
- Oct 2, 2017
- 196
- 274
200,000/-Kwa tsh ngapi mkuu na Mimi nijipange?
200,000/-Kwa tsh ngapi mkuu na Mimi nijipange?
Kuiwekea Vizuizi (passcode) kwa njia ya Scan (finger print) je, hii itazuia Simu yako kufanya kazi baada ya kuibiwa...!!?Wakuu juzi Kati nimeingia town nikachukua guy mzigo![]()
Nice techno spark k7 , nawaona tecno Sasa wamejirekebisha cuz mzigo upo vizuri kuanzia kiioo, camera vyote vipo clear
Wamejiongeza na kuweka finger sensor ambayo utasajili vidole vyako kwa ajili ya security
Na bei ina unafuu
Huko kwenye betri ndio wameuwa mzigoo unatunza chaji hatare
Mshamba tu ww. Unadhani wote tunaishi hapo ulipo ww au unajua 4g imeshaenea nchi nzima??!!Zama hizi uwe na simu haina 4g kweli?
Bado nayo ni mtoto wa TECNOTecno hata watoe Gari siwezi kuwaamini, Ngoma Infinix Note 3 Pro ichukue uone Tofauti.
sawa mjanjaMshamba tu ww. Unadhani wote tunaishi hapo ulipo ww au unajua 4g imeshaenea nchi nzima??!!
'za fanana transit goods'Tecno hata watoe Gari siwezi kuwaamini, Ngoma Infinix Note 3 Pro ichukue uone Tofauti.
Co sponsor wa man city wale shauri yako mpaka ulaya thenmzee wa tandale unavunga mjuaji.Ni kampuni uchwara, halafu specification zake sometimes ni za uongo ndo maana GSM arena hawawekagi.
Unatumia tecno wewe acha sifaendelee na ulimwengu wenu uo# mimi nlikua na samsung note 3 nkabadili niko iphone 6 najipiga nipate iphone 8+ au x...techn n simu ambazo sitakuja tumia..maisha yangu yote...sijui nazionaje
Co sponsor wa man city wale shauri yako mpaka ulaya thenmzee wa tandale unavunga mjuaji.
Mbona umefurahi rafiki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yaan ww
umekataa tecno afu umenunua infinix hao ni kama nyani na ngedereTecno hata watoe Gari siwezi kuwaamini, Ngoma Infinix Note 3 Pro ichukue uone Tofauti.
Bora nyani mjanja kidogo ila ngedere ni sawa na kimaumekataa tecno afu umenunua infinix hao ni kama nyani na ngedere
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]