Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,231
vipi betri yake ni mAh ngapi na camera ni megapix ngapi???tatizo la tecno ram GB 1 INAFANYA SIMU ipate moto sana na hatimaye kustack, notification huwa haziji kwenye black screen
Motorola wamekuja na simu ya bei rahisi kuliko hata hiyo spak 7 inaitwa MOTO C ikiwa na nougat ram GB 2 4g internet chip set siyo hizo za mediatek INA uzwa 200k tu