Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Xiaomi wanatengeneza simu nzuri sana mkuu. Ila ngoja waje watu hapa watakwambia usinunue bcoz inatengenezwa china. Wengine watakwambia usinunue hii brand yake sio popular kama ilivyo samsung.
Mkuu ni kweli kabisa brand names zimetupofusha sana, ndio maana nimeweka link hapo watu wajionee wenyewe.
 
Check hii simu MI3 kutoka XIAOMI bei ni ndogo lakini uwezo wake ni mkubwa sana, ukiangalia sepecificationzake na Samsung S4 its almost the same. Pitia hii link: Mi3 - xiaomi.com na hapa gsmarena: Xiaomi MI-3 - Full phone specifications

j7kc.jpg

Bei yake inaweza fika ngapi??
 
Mkuu ni kweli kabisa brand names zimetupofusha sana, ndio maana nimeweka link hapo watu wajionee wenyewe.

kwa active member wa jf xiaomi ni brand maarufu sana. wala musiitumie hii kutetea hoja.

1. vice president wa android kwenda xiaomi alieleza Mndengereko

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...3544-makamu-wa-raisi-wa-android-ajiuzulu.html

na hapa

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...-mfano-wa-kuigwa-kwa-simu-za-bei-ndogo-6.html

na hapa

https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/497937-motorolla-wazindua-moto-x-2.html

na topic zaidi ya mia zaidi
 
Last edited by a moderator:
Nimetembea kidogo duniani, cha ajabu nilichogundua wenzetu walioendelea utakuta mara nyingi wanatumia Baiskeli/Pikipiki au usafiri wa umma kwenda kwenye mishemishe zao. Hata simu zao ni za kawaida sana, hata magari yao ni yale ambayo huku unaweza kuyaita yenye ujazo wa injini wa kawaida.

Lakini huku kwetu Dunia ya tatu mmmmmmhhhh
 
Hawa wanaosema mara bangi mara sijui nini nadhani wao ndio watakuwa na matatizo kwenye akili zao!

Hivi kuna ubaya gani kufanya comparison ya products mbili na kujua ipi ni ipi!

Hata kama Samsung Galaxy ni simu maarufu, haimaanishi kwamba haitakiwi kufanyiwa comparison na simu nyingine.

:dance:Proverbs 26:4-14 "When arguing with fools, don't answer their foolish argument...":dance:

Zaburi 26:4-14.....seriously????!!!
 
Bei yake inaweza fika ngapi??

.
Xiaomi's handsets zinauzwa
between $130 and $410, much
lower than the $740 price tag for
the least expensive iPhone 5C
model au Samsung Galaxy Note II,
ambayo ina retail for $570.
 
Check hii simu MI3 kutoka XIAOMI bei ni ndogo lakini uwezo wake ni mkubwa sana, ukiangalia sepecificationzake na Samsung S4 its almost the same. Pitia hii link: Mi3 - xiaomi.com na hapa gsmarena: Xiaomi MI-3 - Full phone specifications

j7kc.jpg

.
Sijakuelewa kwann umeiweka hii kitu apa..... Mana havihusiani kabisa na hizi tecno kijan
.
Xiaomi ni simu zenye high quality bwana mdogo japokuwa kuna baadhi ya vitu wame copy kama kawaida....
Waaulize apple na samsung jinsi wanavyokosa soko China kisa hizo simu.......
.
Na wachina huwaa ambii kitu kabisa wanaziita chinese apple products tena CEO wao lei jun anajulikana kama steve jobs.....
.
Na subilia mwaka huu watafanya yao tena

.
Lei jun
SAYED
"We again promise, we will at least
supply 40 million phones in 2014!"
 
Daah ni ushamba tu si unajua N3 ilivyoingia sokoni wadau wakaileta humu wakasifia na mm nikasema sibaki nyuma nikaitafuta fasta unfortunately iliibiwa hiyo simu na hapo hapo P3 ilishaingia sokoni nikasema ngoja nijaribu kubadili hii ndo ilikuwa majanga haswa mpaka nikawa najuta hela yangu kila siku ni low memory siwez eka apps za maana yaani kero mwanzo mwisho nikaona niwape wanangu wachezee maana imenitesa mno nimeroot simu nikaondoa preinstalled apps zote lkn majanga yalibaki pale pale

Sina hamu na TECNO kabisa hata hii ya laki tatu siwez jaribu kabisa mchiba mchina tu hawezi tengeneza kitu cha maana
.
Afu we jamaa kuna android black market hapa
.
Aptoide Installer
.
Download all android app for free
.
Hata paid apps
?
this is awesome. must be similar
to applanet when it was up and
running full force.
 
Mkuu muombe radhi mshikaji hizi ni dharau za wazi wazi, hii ni forum tu isitoshe watu hatujuani usikute huyo jamaa ndo baba mkwe wako !!
 
cjui ila nna jamaa ofcn amenunua iyo haijamalia mwezi betri ishabuma!!! kama kuna anayejua uwezo wa betri ya hii tecno ni ngapi interms of AH plz aweke comparison na s4.

kaka kuna game kubwa kama fifa na simpsons tapped nadhan kwa smooth operation kua na processor kubwa ni muhim usibeze kwa kigezo cha bei tu!!!

thanks for the analysis anyway!!
 
cjui ila nna jamaa ofcn amenunua iyo haijamalia mwezi betri ishabuma!!! kama kuna anayejua uwezo wa betri ya hii tecno ni ngapi interms of AH plz aweke comparison na s4.

kaka kuna game kubwa kama fifa na simpsons tapped nadhan kwa smooth operation kua na processor kubwa ni muhim usibeze kwa kigezo cha bei tu!!!

thanks for the analysis anyway!!

Battery ya Phantom ni 2100mAh wakati s4 ni 2600mAh
 
cjui ila nna jamaa ofcn amenunua iyo haijamalia mwezi betri ishabuma!!! kama kuna anayejua uwezo wa betri ya hii tecno ni ngapi interms of AH plz aweke comparison na s4.

kaka kuna game kubwa kama fifa na simpsons tapped nadhan kwa smooth operation kua na processor kubwa ni muhim usibeze kwa kigezo cha bei tu!!!

thanks for the analysis anyway!!
Kaka kwenye battery kuna mambo mawili.

1. Ukubwa wa battery (mah)
2. Life span ya cell.

1. Kwenye ukubwa wa battery wachina wanaweza kukuekea hata 13,000mah. Kuna power bank kubwa sana za kichina kwa bei rahisi.

2.life span ya cell hapa ndo wachina wasipojali battery nyingi zao unakuta zinachajika mwisho mara 100 halafu zinakufa. Kama ni mcheza magame kwa siku unachaji mara 3 tegemea mwezi tu battery ya kichina kufa.

Na hii inatokana na material fake yanayotumika.

Kuhusu suala la games hawawezi kukuelewa sababu wengi ni first time smartphone owner. Game kama gta san andreas ni 2gb+ kwenye android inamaana simu zote zenye 4gb haziwezi kucheza hili game. Simu ikiwa na 4gb hapa anazoachiwa mtumiaji ni 1.7gb hadi 2.2gb na njia kubwa ya kueka apps kwenye memory card ni kuieka kwenye phone memory kwanza halafu ndio unamove data kwenye sd card. Labda uwe mtaalamu sana kuzieka kwenye sd data za game kisha uipoint apk ikasome huko.
 
Kaka kwenye battery kuna mambo mawili.

1. Ukubwa wa battery (mah)
2. Life span ya cell.

1. Kwenye ukubwa wa battery wachina wanaweza kukuekea hata 13,000mah. Kuna power bank kubwa sana za kichina kwa bei rahisi.

2.life span ya cell hapa ndo wachina wasipojali battery nyingi zao unakuta zinachajika mwisho mara 100 halafu zinakufa. Kama ni mcheza magame kwa siku unachaji mara 3 tegemea mwezi tu battery ya kichina kufa.

Na hii inatokana na material fake yanayotumika.

Kuhusu suala la games hawawezi kukuelewa sababu wengi ni first time smartphone owner. Game kama gta san andreas ni 2gb+ kwenye android inamaana simu zote zenye 4gb haziwezi kucheza hili game. Simu ikiwa na 4gb hapa anazoachiwa mtumiaji ni 1.7gb hadi 2.2gb na njia kubwa ya kueka apps kwenye memory card ni kuieka kwenye phone memory kwanza halafu ndio unamove data kwenye sd card. Labda uwe mtaalamu sana kuzieka kwenye sd data za game kisha uipoint apk ikasome huko.

Kuna mchangiaji mmoja huko nyuma aliwahi kusema, unapotaka kununua simu ni vizuri ukatambua matumizi yako kwanza, nisijue ni wana jf wangapi anaweza tumia hata robo saa anacheza gemu!!
 
Mkuu somo zuri pia limeeleweka kwa walio wengi kazi ni kwao maana mjumbe hauwawi daima.
 
What about their storage capacity, battery and construction material?
 
Mkuu umetoa analysis nzuri lakini kwenye conclusion ndo natofautiana na ww kwamba eti bora tecno kha.! Kuna mada ilishawahi kuanzishwa humu jukwaani kwamba kuna kiwanda orignal kinachoexist nakutambulika kimataifa cha tecno?? Na kulikuwa kuna reasonable argument juu ya viwanda,na orignality ya tecno,back to the topic kuna vitu vingi sana ambavyo vipo kwenye s4 hujavielezea kwa ufupi tu niseme update ya os kwenda 4.3 android na pia smartscroll,durability(hapa s4 ililinganishwa na iphone 5 kwa kuwekwa kwenye maji ikakaa muda mrefu more than two minutes,kuwa scratched na coin ,kuangushwa toka juu kama mita 10 zaidi ya mara 5,)not to mention hizo tecnical specification nyingine ulizozitaja pamoja na screen resolution. And many other vinaifanya s4 kuwa juu mara 3 zaidi ya hiyo phantom.ila kama bajeti yako ya kawaida sio mbaya kuwa na phantom
 
Umetoa analysis nzuri....phantom kwenye screen ndio wameharibu sana....TFT is very chinese
S4 imempita mbali sana phantom kwa specs japo kwa wale wenye bajeti hafifu inawafaa sana
Mnavyo wadharau hao wachina,mngejua kuwa hata hiyo mikombora ,gun powder wamevumbua wao msingewadharau hivyo!
 
Mnavyo wadharau hao wachina,mngejua kuwa hata hiyo mikombora ,gun powder wamevumbua wao msingewadharau hivyo!

wabongo mnavyopenda siasa.

tft ni technology kaka iwe china iwe tanzania iwe marekani still ni mbaya kucompare na ips.

tft ni lcd za zamani na ips imekuja kumreplace ndio maana simu kubwa kama htc one na baadhi ya lumia zenye lcd zinatumia ips.

hii ni video ya youtube ila sababu wengi hawataona nimeeka kapicha haka. ona utofauti wa kioo cha tft na ips

default.jpg
 
Back
Top Bottom