Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
.
Ni nn hiki njunwa
.
Kweli p3 idharauliwe kiasi hicho kiongozi....
Sina imani kama ulikuwa hujui kabisa aina za simu mpaka uka chagua hiyo?
.
Mm sio mpenzi wa tecno ila nime boreka
.
Daah ni ushamba tu si unajua N3 ilivyoingia sokoni wadau wakaileta humu wakasifia na mm nikasema sibaki nyuma nikaitafuta fasta unfortunately iliibiwa hiyo simu na hapo hapo P3 ilishaingia sokoni nikasema ngoja nijaribu kubadili hii ndo ilikuwa majanga haswa mpaka nikawa najuta hela yangu kila siku ni low memory siwez eka apps za maana yaani kero mwanzo mwisho nikaona niwape wanangu wachezee maana imenitesa mno nimeroot simu nikaondoa preinstalled apps zote lkn majanga yalibaki pale pale
Sina hamu na TECNO kabisa hata hii ya laki tatu siwez jaribu kabisa mchiba mchina tu hawezi tengeneza kitu cha maana