Buhamila
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 160
- 82
Mi naona mtoa mada hakutakiwa kulinganisha hizi mbili bali angeanza tu kusema hiyo tecno inawafaa watu maskini kwa matumizi yao. Ila sio sahihi kusema wanaonunua Samsung wana pesa ya kuchezea au wanataka sifa. Sema mi nina njaa usiseme tuna njaa! Kama we maskini nunua kimeo (tecno) ukauzie mtaani kwa wasiojua bado ila usijifananishe kabisa hata robo na mtu mwenye Galaxy S4.
Jifariji Kuwa anae tumia Tecno ni maskini!