Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Tecno Phantom A VS Samsung Galaxy S4 - Utofauti na Usawa!

Zamani watu walikuwa hawaamini simu yoyote isipokua Nokia na ilipokuja Black Berry watu wote waliamini hakuna smart phone kama BB lakini leo zote kapuni. Ni baadaye sana kufananisha tecno na Sumsung ila si sawa kuwabeza Tecno kuwa hawana kitu. Wengi tunatumia simu kwa kupiga na kupokea 80% na 20% kwa matumizi mengine hivyo kimatumizi ya kawaida Tecno inafaa bila shida ila kwa kuweka status plus prestige show of ikiwa unazo pesa hakuna kushangaa kamata GS4 maana kila mtu atajua kuwa kweli unazo.
 
Nimetembea kidogo duniani, cha ajabu nilichogundua wenzetu walioendelea utakuta mara nyingi wanatumia Baiskeli/Pikipiki au usafiri wa umma kwenda kwenye mishemishe zao. Hata simu zao ni za kawaida sana, hata magari yao ni yale ambayo huku unaweza kuyaita yenye ujazo wa injini wa kawaida.

Lakini huku kwetu Dunia ya tatu mmmmmmhhhh

Ulaya huduma nyingi hupatikana kila mahali. Kwa mfano Internet upo kila Sehemu. Huku hizo huduma sharti ujibebee ndio maana ukiwa Africa unahitaji simu yenye kila kitu ili uwe full connected kokote uendako wakati ughaibuni hii siyo lazima
 
Nakubaliana na aliyesema hii ni Bangi. Kama we ni mteja wa Tecno au makopo ya aina hiyo sawa ila usilazimishe watu wote ku stoop low. Si lazima umiliki simu ila ikibidi tafuta the best there is.
Si lazima uoe, lakini ikifikia hapo chukua demu mkali.

Unatushauri vibaya mkuu, hapo kwenye kuoa demu mkali kwa mtazamo wangu unaongea chances za kuchapiwa kwa sababu wengi watamtaka, si mzuri? halafu anavutia kila mtu? Ukija kuchapiwa itakuwaje? Au ndo siri ya ndani kama alivoimba Ally K? Washauri bijana waoe wake ambao wapo tayari kimaisha, siyo ware,bo wa sura peke yake. Mtazamo tu lakini
 
kweli samsung ni ya ukweli 'tunashukuru kwa ufafanuzi mzuri wenye vina halisi vya ufafanizi' lakini hata tecno sio haba!!!!!!
 
Ngoja nikutajie features ambazo umeziacha ambazo zitakufanya uione tecno ni cha mtoto
  • Dual camera photo and recording:Yaani unaweza ukawa unarekodi video kwa kutumia kamera ya nyuma na pia ukawa unajirekodi ww kwa kutumia kamera ya mbele KWA WAKATI MMOJA!
  • Erase shot: Uko sehemu umepiga picha halafu baadae unagundua kuna kitu au mtu katokea kwenye hiyo picha na ww hukutaka, bas hii feature inakuwezesha kufuta hiyo part
  • S Translator: nafkr inajieleza yenyewe
  • S health
  • Air view
  • Tumia cm kama remote ya tv
  • NFC connectivity
  • Smart pause
Ya mwisho ni kuwa ni SAMSUNG! hilo jina tu linatosha! imagine mtu ana cm ina jina TECNO na mwingine ana SAMSUNG! ww wa tecno you are smelling chinese!
 
Hakuna mahali popote duniani wanathibitisha uhalisia wa Tecno
Tecno ni bidhaa duni zinazotusaidia sisi walala hoi tujione Nasi tunamiliki smartphones
 
Keyser Söze;8617333 said:
Ngoja nikutajie features ambazo umeziacha ambazo zitakufanya uione tecno ni cha mtoto
  • Dual camera photo and recording:Yaani unaweza ukawa unarekodi video kwa kutumia kamera ya nyuma na pia ukawa unajirekodi ww kwa kutumia kamera ya mbele KWA WAKATI MMOJA!
  • Erase shot: Uko sehemu umepiga picha halafu baadae unagundua kuna kitu au mtu katokea kwenye hiyo picha na ww hukutaka, bas hii feature inakuwezesha kufuta hiyo part
  • S Translator: nafkr inajieleza yenyewe
  • S health
  • Air view
  • Tumia cm kama remote ya tv
  • NFC connectivity
  • Smart pause
Ya mwisho ni kuwa ni SAMSUNG! hilo jina tu linatosha! imagine mtu ana cm ina jina TECNO na mwingine ana SAMSUNG! ww wa tecno you are smelling chinese!

Phantom A+++(A3) inazo hizo zote.
 
Kufanana kwao ni kwamba,zote unaweza kuibiwa,hakuna inayojilinda.hapo sasa
 
Naitumia nimeshatumia galaxy S4 hakuna kitu haifikii Xperia hata kidogo
 
Umesomeka

Sent from my HTC Desire C using JamiiForums mobile app
 
Naona watu mnaponda sana humu wachina.. Wachina wana products nzuri tu msiwaponde kiasi hicho, wanawaletea simu kulingana na market yenu. Unadhani mchina anashindwa kutengeneza simu kwa kutumia AMOLED display akakuwekea the best processor, ram, memory space, battery kubwa?? Unabisha tafuta simu inaitwa Xiaomi Mi3 uniambie kama utailinganisha na Samsung S4 au iPhone 5S.. Mbona jamaa kafanya comparison nzuri tu japo yeye anapenda techno shida iko wapi, muacheni atumie ni preference yake, na ni kweli almost all apps zinazorun kwenye S4 zinarun kwenye phantom tatizo linakuja vitu kama games FPS zitakua low n usiongelee ati battery ya techno ni 2100mAh huku samsung 2600mAh kwa nini techno aweke battery kubwa huku ana processor core mbili? Zote simu nzuri tu ingawa S4 yuko juu sawa.
Yapo makampuni yanatengeneza simu quality sawa na samsung sema tu hayasikiki, kuna kampuni pia zipo huku nje ambapo wanatengeneza simu haziwi exported ila quality sawa but cheaper.. Sometimes brand name nayo hutumika vitu vinakua bei juu...
 
Naona watu mnaponda sana humu wachina.. Wachina wana products nzuri tu msiwaponde kiasi hicho, wanawaletea simu kulingana na market yenu. Unadhani mchina anashindwa kutengeneza simu kwa kutumia AMOLED display akakuwekea the best processor, ram, memory space, battery kubwa?? Unabisha tafuta simu inaitwa Xiaomi Mi3 uniambie kama utailinganisha na Samsung S4 au iPhone 5S.. Mbona jamaa kafanya comparison nzuri tu japo yeye anapenda techno shida iko wapi, muacheni atumie ni preference yake, na ni kweli almost all apps zinazorun kwenye S4 zinarun kwenye phantom tatizo linakuja vitu kama games FPS zitakua low n usiongelee ati battery ya techno ni 2100mAh huku samsung 2600mAh kwa nini techno aweke battery kubwa huku ana processor core mbili? Zote simu nzuri tu ingawa S4 yuko juu sawa.
Yapo makampuni yanatengeneza simu quality sawa na samsung sema tu hayasikiki, kuna kampuni pia zipo huku nje ambapo wanatengeneza simu haziwi exported ila quality sawa but cheaper.. Sometimes brand name nayo hutumika vitu vinakua bei juu...

kiswahili- lugha

mswahili anaweza kuwa mtu anaeongea kiswahili au asie na ahadi ya kweli au hata mtu anaeishi pwani.

mtu akisema mchina anaweza maanisha bidhaa/mtu kutoka china au kitu kisicho na quality.

sometime kuna bidhaa hata hazitoki china maybe zinatoka india au hata singapore ila sababu ya urahisi wake na low quality basi itaitwa tu mchina.

ni matamshi tu ya kilugha kaka
 
kiswahili- lugha

mswahili anaweza kuwa mtu anaeongea kiswahili au asie na ahadi ya kweli au hata mtu anaeishi pwani.

mtu akisema mchina anaweza maanisha bidhaa/mtu kutoka china au kitu kisicho na quality.

sometime kuna bidhaa hata hazitoki china maybe zinatoka india au hata singapore ila sababu ya urahisi wake na low quality basi itaitwa tu mchina.

ni matamshi tu ya kilugha kaka
Haya bna kama wewe wamaanisha hivo... Japo wapo raia wengine wakiongea mchina wanamaanisha kweli toka china
 
Mi naona mtoa mada hakutakiwa kulinganisha hizi mbili bali angeanza tu kusema hiyo tecno inawafaa watu maskini kwa matumizi yao. Ila sio sahihi kusema wanaonunua Samsung wana pesa ya kuchezea au wanataka sifa. Sema mi nina njaa usiseme tuna njaa! Kama we maskini nunua kimeo (tecno) ukauzie mtaani kwa wasiojua bado ila usijifananishe kabisa hata robo na mtu mwenye Galaxy S4.
 
Back
Top Bottom