cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,879
- 1,634
Ila chief hii band zake za 4g za 800/850/2100/2600 bila shaka zinaendana na mitandao yetu,
Kuliko ile ya C5 uliosema haitokubaliana na mitandao yetu ya simu
Natumia c5, IPO vizuri sana.
Ila chief hii band zake za 4g za 800/850/2100/2600 bila shaka zinaendana na mitandao yetu,
Kuliko ile ya C5 uliosema haitokubaliana na mitandao yetu ya simu
Tecno wametoka mbali jamani,learn to appreciate samsung fan boys/girls.Wameweza kuwa innovative sana tu na simu zao ni imara tu kama zilivyo simu nyingine ingawa factory defects zinaweza kutokea at times na kupelekea simu zao kusumbua kama itokeavyo kwenye brands maarufu kama samsung,sony,LG n.k
Wamedhihirisha kuwa mbadala kwa wapenzi wa simu za smartphone ambazo zinajali afya ya mteja kiuchumi,yani kwa gharama nafuu unaweza kumiliki smartphone ya kisasa ya tecno tofauti na smartphone za makampuni mengine ambazo bei zake zinakuwaga juu mno.
Ninachoona shida ya tecno ni jinsi walivyoliingia soko ndio kinachofanya watu wengi waipondee maana walianzaga na simu ambazo ni purely za kichina na za bei rahisi tu na zikawa zimezagaa mjini hazikuwa na uspesheli wowote ingawa mara kadhaa zilionekana kuwa imara(likes of nokia) kuliko simu yoyote iliowahi kujulikana kama mchina,hata walipoanza biashara ya smartphone pengine ni bora wangeanzisha kujiita jina tofauti kwa ajili ya kujenga upya reputation ya bidhaa zao.Matokeo yake watu wakawa wanaona smartphone gani za tecno tena mchina,zitakuwa hovyo tu kama simu za michina ilivyo ila kadri muda unavyosonga tecno wamezidi kujiboresha kwa kutengeneza simu imara na za kisasa kama makampuni mengine na hata wapo walioamua kuzijaribu wakagundua zipo poa sana.So mi naona tusizipondee tecno kwa bias zetu tu they are also good as other brands but itategemea na preference yako na kama we ni mtu wa name brands(samsung,sony,nokia,LG n.k) na unaweza kuendelea kuzinuna kwa gharama yoyote ile kuwa huru usinunue tecno,ni hayo tu!
Kwa spec hizo za 32 GB storage na 3GB RAM laki 7-8 ni fair kabisa ila kwa vile tumewazoea ni watu wa low end inakuwa ngumu kuwaamini na simu zote hauwezi kujua ubora kwa kuangalia specs tu lazima uitumie ndo utajua.
kufupi mimi ni mmoja wa watu nilikuwa supend brand za TECNO tok miaka ya nyuma hasa sim zao za kwanza...ila baada ya kujaribu smartphone zao zinaubora sawa na hzo nyingine...nnayo H6 ni nzuri kwa upande wangu
yani wewe unafananisha h6 na brand kubwa kama samsung lg sony htc na huawei.
h6 ndo vimeo vinavyoongoza kwa thread humu ndani.
kiufupi tecno wakupambanisha nae ni itel labda.
wabongo kwa kuponda mbona hata cha tochi mmeshindwa kutengeneza.
kwani unapewa bure? si unatoa hela? kuna ubaya gani mtu akitaka kitu kizuri kutokana na hela yake anayotoa?
kama ana hela ndogo, mwache anunue tecno anayoimudu. so far inamwezesha kufanya matumizi yake yote
sio issue ya kuwa na hela ndogo au kubwa, issue ni kwamba sababu siwezi kutengeneza simu ya tochi basi sitakiwi kuponda bidhaa yoyote ya simu. logic hii ukiileta maisha ya kawaida inakuwa hivi.
-sababu hujui kulima mama ntilie akipika chakula kibaya usilalamike kula tu
-sababu hujui kushona nguo ukishonewa hata sketi na we ni mwanaume vaa tu
-sababu hujui kujenga nyumba fundi akitengeneza yenye ufa na upande mmoja asipopaua potezea tu.
hela ni zetu eti sababu hatuwezi kutengeneza simu basi haturuhusiwi kuhoji ubora wa bidhaa hii logic sikubaliani nayo kabisaaa.
sio issue ya kuwa na hela ndogo au kubwa, issue ni kwamba sababu siwezi kutengeneza simu ya tochi basi sitakiwi kuponda bidhaa yoyote ya simu. logic hii ukiileta maisha ya kawaida inakuwa hivi.
-sababu hujui kulima mama ntilie akipika chakula kibaya usilalamike kula tu
-sababu hujui kushona nguo ukishonewa hata sketi na we ni mwanaume vaa tu
-sababu hujui kujenga nyumba fundi akitengeneza yenye ufa na upande mmoja asipopaua potezea tu.
hela ni zetu eti sababu hatuwezi kutengeneza simu basi haturuhusiwi kuhoji ubora wa bidhaa hii logic sikubaliani nayo kabisaaa.
Kweli mkuu laki 8 nyingi