Specifications :
Netwok: 2G/3G/4G LTE
Display : 5.5" Full high definition
Protection: Corning gorilla glass 3
Dual sim
Sensor : Proximity,Gyro, Finger print scanner
Gps
Internal Memory : 32GB
Ram: 3GB
Battery :3000 mah
Hii ni bonge la simu
Tanzania sijui itakuja lini
yani laki 7 akanunue mediatek?
Nawaza sana hv kati ya tecno na simu za clone/copy bora zipi zenye afadhali?
Kwa efficiency sijui, hapo inabidi wataalamu waeleze. Lakini kwa muonekano bora clone maana mtu akikuona anasema una samsung. Tecno inadharaulisha.
Nawaza sana hv kati ya tecno na simu za clone/copy bora zipi zenye afadhali?
kwa mtazamo wangu zote hazifai, yaani kitendo cha kutumika Mediatek tu basi! Hiyo simu mi hainifai. Narudia tena HUU NI MTAZAMO WANGU TU
Specifications :
Netwok: 2G/3G/4G LTE
Display : 5.5" Full high definition
Protection: Corning gorilla glass 3
Dual sim
Sensor : Proximity,Gyro, Finger print scanner
Gps
Internal Memory : 32GB
Ram: 3GB
Battery :3000 mah
Hii ni bonge la simu
mimi huwa nikizikuta zimechanganywa na Original tu (i.e.Samsung, Motorola, Nokia, iPhone n.k.) basi kwenye hilo duka sitanunua simu maana ntaziona simu zote ni TECNO. Na mara nyingi huwa sitaki hata kuziona
Niliona tecno moja wameilebo 1,000,000 mlimani city. Sikufatilia ni tecno ipi hiyo maana hilo jina tecno huwa linanichefua
wabongo ni watu wa ajabu mishipa imewatoka kuponda tecno simu za kichina wakati kavaa suruali ya kichina.chupi china viatu china subwoofer yake ya kichina tv kichina redio kichina nk nawadharau sana hawa watu maana hapo ulipo pia unajipepea na feni la kichina hadi unapost huo ujinga wa kuponda tecno eti kisa mchina mbav zenu
Nawaza sana hv kati ya tecno na simu za clone/copy bora zipi zenye afadhali?