Watu
Platinum Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,472
Hata mimi kuna vitu viwili nikishaviona basi hiyo simu hata unipe bure naiweka stoo.
1. Made in China. Hapa hata iwe original
2. Mediatek
What is not made in china????
Hata mimi kuna vitu viwili nikishaviona basi hiyo simu hata unipe bure naiweka stoo.
1. Made in China. Hapa hata iwe original
2. Mediatek
What is not made in china????
Kuna mtu anataka kuniuzia note4 kwa laki 7 najiuliza kweli note4 mpya kwa bei hii si itakua feki au bora niongeze hela ninunue hii tecno phantom 5
LG mwezi huu wanatoa lg v10 nimeangalia specifications ni hatari inaonekana bei yake itakuwa si ya kitoto, ngoja niiandalie pesa mwakani niimiliki ikiwa imeshuka bei kidogo
Chief-Mkwawa
ina snapdragon 808 ambayo ni mid to highend processor, hii chip inaifanya hii simu isivutie sana ila itategemea na bei. kama itakua chini ya dola 400 sio mbaya ila ikizidi hapo inabidi uiangalie mara 2
hii simu ilinibadilisha mawazo nilitaka kuchukua lg g4 lakini pia zote zina processor moja, kwa hiyo ww unanishauri vipi kaka kati ya v10 na g4?
Lkn pamoja na hayo hii simu bila ya pesa kuanzia laki 7 huinunui
ngoja itoke kwanza maana hata band hazijajulikana, unaweza kuta hata kusiwe na version za kimataifa
seems imeanza kutoka korea
LG V10 arrives in South Korea first, available tomorrow for $693 - GSMArena.com news
My phone
Mi pia naweza pinga kivingine japo nawewe upo sahihi. China/vietnam wao Mara nyingi wanaunganisha ram, soc, spika, mic, motherboard, battery etc lakini hawavitengenezi hivyo vifaa.your phone is made in china, with an added QC-(quality check) label, and branding from EUROPE or USA.
your phone is made in china, with an added QC-(quality check) label, and branding from EUROPE or USA.
Mbona humalizii na processor?
Ikiwa 4G ujuwe Ina 1G, 2G na 3G dani yake!Specifications :
Netwok: 2G/3G/4G LTE
Display : 5.5" Full high definition
Protection: Corning gorilla glass 3
Dual sim
Sensor : Proximity,Gyro, Finger print scanner
Gps
Internal Memory : 32GB
Ram: 3GB
Battery :3000 mah
Hii ni bonge la simu
Sawa ila note4 kwa bei hiyo mm naogopa copy
nimefanya utafiti mdogo na kungundua yafuatayo, hii tecno Phantom 5 ni copy and paste ya simu za Gionee elife E8 na Blu pure XL. tofauti ya hii tecno Phantom 5 ni internal memory ya 32GB na display ya 5.5".. ila specifications zingine zote mpaka appearance ni vile vileee.