Tecno phantom 5 yazinduliwa

Tecno phantom 5 yazinduliwa

Tecno wametoka mbali jamani,learn to appreciate samsung fan boys/girls.Wameweza kuwa innovative sana tu na simu zao ni imara tu kama zilivyo simu nyingine ingawa factory defects zinaweza kutokea at times na kupelekea simu zao kusumbua kama itokeavyo kwenye brands maarufu kama samsung,sony,LG n.k
Wamedhihirisha kuwa mbadala kwa wapenzi wa simu za smartphone ambazo zinajali afya ya mteja kiuchumi,yani kwa gharama nafuu unaweza kumiliki smartphone ya kisasa ya tecno tofauti na smartphone za makampuni mengine ambazo bei zake zinakuwaga juu mno.
Ninachoona shida ya tecno ni jinsi walivyoliingia soko ndio kinachofanya watu wengi waipondee maana walianzaga na simu ambazo ni purely za kichina na za bei rahisi tu na zikawa zimezagaa mjini hazikuwa na uspesheli wowote ingawa mara kadhaa zilionekana kuwa imara(likes of nokia) kuliko simu yoyote iliowahi kujulikana kama mchina,hata walipoanza biashara ya smartphone pengine ni bora wangeanzisha kujiita jina tofauti kwa ajili ya kujenga upya reputation ya bidhaa zao.Matokeo yake watu wakawa wanaona smartphone gani za tecno tena mchina,zitakuwa hovyo tu kama simu za michina ilivyo ila kadri muda unavyosonga tecno wamezidi kujiboresha kwa kutengeneza simu imara na za kisasa kama makampuni mengine na hata wapo walioamua kuzijaribu wakagundua zipo poa sana.So mi naona tusizipondee tecno kwa bias zetu tu they are also good as other brands but itategemea na preference yako na kama we ni mtu wa name brands(samsung,sony,nokia,LG n.k) na unaweza kuendelea kuzinuna kwa gharama yoyote ile kuwa huru usinunue tecno,ni hayo tu!
 
Sasa kununua tecno+mediatek yake kwa laki 7 si ni wendawazimu wakati kwa laki 4 utapata simu bora sana

Mkuu nakubaliana na wewe,mi binafsi ni mpenzi wa smartphone ila napend name brands (sony,htc,samsung,nokia,LG) sana sana.
Inapotokea sina budget ya kutosha ndio huwa natumia simu za tecno ama huawei na kimsingi siwezi kununua simu ya tecno kwa bei ambayo nitapata sony xperia kali,ama samsung galaxy kali that will never happen na hata tecno strategy yao ilikuwa ni kuwafikia watu wa hali duni nao wamiliki smartphone,utakuwa mwenda wazimu kununua tecno laki 7
 
Tecno wametoka mbali jamani,learn to appreciate samsung fan boys/girls.Wameweza kuwa innovative sana tu na simu zao ni imara tu kama zilivyo simu nyingine ingawa factory defects zinaweza kutokea at times na kupelekea simu zao kusumbua kama itokeavyo kwenye brands maarufu kama samsung,sony,LG n.k
Wamedhihirisha kuwa mbadala kwa wapenzi wa simu za smartphone ambazo zinajali afya ya mteja kiuchumi,yani kwa gharama nafuu unaweza kumiliki smartphone ya kisasa ya tecno tofauti na smartphone za makampuni mengine ambazo bei zake zinakuwaga juu mno.
Ninachoona shida ya tecno ni jinsi walivyoliingia soko ndio kinachofanya watu wengi waipondee maana walianzaga na simu ambazo ni purely za kichina na za bei rahisi tu na zikawa zimezagaa mjini hazikuwa na uspesheli wowote ingawa mara kadhaa zilionekana kuwa imara(likes of nokia) kuliko simu yoyote iliowahi kujulikana kama mchina,hata walipoanza biashara ya smartphone pengine ni bora wangeanzisha kujiita jina tofauti kwa ajili ya kujenga upya reputation ya bidhaa zao.Matokeo yake watu wakawa wanaona smartphone gani za tecno tena mchina,zitakuwa hovyo tu kama simu za michina ilivyo ila kadri muda unavyosonga tecno wamezidi kujiboresha kwa kutengeneza simu imara na za kisasa kama makampuni mengine na hata wapo walioamua kuzijaribu wakagundua zipo poa sana.So mi naona tusizipondee tecno kwa bias zetu tu they are also good as other brands but itategemea na preference yako na kama we ni mtu wa name brands(samsung,sony,nokia,LG n.k) na unaweza kuendelea kuzinuna kwa gharama yoyote ile kuwa huru usinunue tecno,ni hayo tu!

kaka nimeshatoa proof nyingi sana kuwa tecno si affordable unapovuka budget ya 200,000, ila watu wanakuwa brainwashed kuwa tecno ni za bei rahisi ndio maana wanafall kwenye tricks zao.

mfano nakupa simu kama moto e inatumia processor sawa na simu highend ya tecno kama phantom z, na moto e inapatikana as low as dola 99, inapata updates, ina camera decent bila kusahau good battery life.

simu kama lg g2 sasa hivi zinapatikana kwa dola 199 huko ughaibuni kama utanunua ebay na hapa tanzania unazipata around 500,000 hadi 600,000 ambayo ni rahisi kuliko flagship za tecno. lg g2 inatumia snapdragon 800 ambayo hakuna simu ya tecno yoyote ile iliyowahi kutengenezwa yenye processor powerfull kama hio (krait). angalia specs za hio lg g2 online halafu njoo niambie tecno wanatengeneza simu za bei rahisi.

sasa hv simu za snapdragon 410 zimejaa kibao kwenye price range ya 200,000 hadi 300,000 simu kama moto e, galaxy core prime, huawei y550, nk zina power kama tecno ya 600,000 huku zinauzwa kwa bei rahisi tu.
 
kaka nimeshatoa proof nyingi sana kuwa tecno si affordable unapovuka budget ya 200,000, ila watu wanakuwa brainwashed kuwa tecno ni za bei rahisi ndio maana wanafall kwenye tricks zao.

mfano nakupa simu kama moto e inatumia processor sawa na simu highend ya tecno kama phantom z, na moto e inapatikana as low as dola 99, inapata updates, ina camera decent bila kusahau good battery life.

simu kama lg g2 sasa hivi zinapatikana kwa dola 199 huko ughaibuni kama utanunua ebay na hapa tanzania unazipata around 500,000 hadi 600,000 ambayo ni rahisi kuliko flagship za tecno. lg g2 inatumia snapdragon 800 ambayo hakuna simu ya tecno yoyote ile iliyowahi kutengenezwa yenye processor powerfull kama hio (krait). angalia specs za hio lg g2 online halafu njoo niambie tecno wanatengeneza simu za bei rahisi.

sasa hv simu za snapdragon 410 zimejaa kibao kwenye price range ya 200,000 hadi 300,000 simu kama moto e, galaxy core prime, huawei y550, nk zina power kama tecno ya 600,000 huku zinauzwa kwa bei rahisi tu.
Mkuu unazungumziaje lg pro nataka nibadilishane na mtu kwa lumia 540 hapo vipi unazielezeaje hizi simu japo nafahamu os ni todauti ila kiufanisi ipi kali??! Nashukuru
 
Mkuu nakubaliana na wewe,mi binafsi ni mpenzi wa smartphone ila napend name brands (sony,htc,samsung,nokia,LG) sana sana.
Inapotokea sina budget ya kutosha ndio huwa natumia simu za tecno ama huawei na kimsingi siwezi kununua simu ya tecno kwa bei ambayo nitapata sony xperia kali,ama samsung galaxy kali that will never happen na hata tecno strategy yao ilikuwa ni kuwafikia watu wa hali duni nao wamiliki smartphone,utakuwa mwenda wazimu kununua tecno laki 7

Yqni utakuwa ni wehu kabisa
Watu wanalia na h5 zao kila kukicha
 
MTK now inafanya vizuri sana na tena simu zake hazi heat kama simu zinazotumia snapdragon kama Samsung nk ina ubora fatilia tena MTK Hello x20 uone mziki wake
MediaTek Launches the MediaTek Helio™ X20: The World’s First Mobile SoC Featuring Tri-Cluster™ CPU Architecture - MediaTek

soc inayoheat ni sd 810 tu, mediatek zilikuwa haziheat sababu walikuwa wakitumia processor dhaifu za cortex a7 na a53 sasa hivi wameanza kuingia highend tutaona wapoje nao tusiwahukumu mapema.

na kama processor ya helio x20 ni nzuri haiifanyi soc yake kwa ujumla kuwa nzuri soc ina vitu vingi kama modems (3g, wifi nk), gpu, ulaji wa battery nk vitu vyote hivi bado mediatek ipo nyuma. na pia sababu helio x20 ni nzuri haifanyi hii tecno nayo iwe nzuri sababu inatumia soc nyengine

kuna simu za mediatek zina battery ya 4000mah lakini zinapitwa ukaaji chaji na simu za qualcomm(krait) hadi zenye 2600mah.

samsung sasa hivi ndie anaeongoza kwenye utengenezaji soc za simu, ana superior manufacturing process ya 14nm, kampuni pekee ambayo ipo juu ya samsung ni intel tu ndio maana apple a9 na qualcomm sd 820 zote zitatengenezwa na samsung. processor yao hii exynos 7 iliotumika kwenye s6 na note 5 ndio best kwenye market interms ya speed na kula energy ndogo.
 
Mkuu unazungumziaje lg pro nataka nibadilishane na mtu kwa lumia 540 hapo vipi unazielezeaje hizi simu japo nafahamu os ni todauti ila kiufanisi ipi kali??! Nashukuru

lg pro ndio ipi? itaje jina full
 
Hizi kelele za wabongo bwana... Eti mediatek ni chip mbovu. Tunagoogle kwenye viblog na review za wanafunzi wa kihindi nahitaji mtu aliyesoma electronics-microcontollers aje hapa. Hakuna siasa.

Mediatek imetumika na
Huawei
Hisense
Sony experia

Na hao ni wazuri katika ict , tusiegemee kwenye swala la updates tu. Mbona unabadilisha simu kabla hata ya miezi 6 update zimeplay nini hapo?
 
Hizi kelele za wabongo bwana... Eti mediatek ni chip mbovu. Tunagoogle kwenye viblog na review za wanafunzi wa kihindi nahitaji mtu aliyesoma electronics-microcontollers aje hapa. Hakuna siasa.

Mediatek imetumika na
Huawei
Hisense
Sony experia

Na hao ni wazuri katika ict , tusiegemee kwenye swala la updates tu. Mbona unabadilisha simu kabla hata ya miezi 6 update zimeplay nini hapo?

kuna siku nilimwambia mtu humu kwamba mediatek sio ya kudharaulika akanibishia.. mfano angalia simu ya Sony Expria C5 Ultra.. mimi nimeitumia na ina performance nzuri kuliko ata samsung za mid range zote.. Angalia pia HTC M9+ inatupia chipset ya mediatek na inaperfomance nzuri na pia ni high end yenye soko zuri tuu ulaya na marekani.. na pia mediatek zimeanza kupokea OTA update kama Tecno R7
 
Post yako yooote hujataja iPhone dah, hata kamfano ka1?

Hivi hizi Tecno zimetarget kuuzwa Afrika pekee? Nimeuliza uliza huwez pata tecno ulaya, amerka au Australia. Vip kuhusu mionzi, operating system, camera?
 
Post yako yooote hujataja iPhone dah, hata kamfano ka1?

Hivi hizi Tecno zimetarget kuuzwa Afrika pekee? Nimeuliza uliza huwez pata tecno ulaya, amerka au Australia. Vip kuhusu mionzi, operating system, camera?

Tecno ni kampuni iliyolenga soko la Africa, hasa West, Central na East Africa, most ya simu zao ni low end na mid range.. ila they are affordable to low income earners.. leo hii kama tecno isingekuwepo sidhani kama Diamond Platnumz angekuwa na followers milioni moja na ushee kule INSTAGRAM.. (im juss saying) ila ninachomaanisha ni kampuni iliyoweza kuwapa Watanzania na Waafrica wa kipato cha chini umiliki wa smartphone..
 
Hizi kelele za wabongo bwana... Eti mediatek ni chip mbovu. Tunagoogle kwenye viblog na review za wanafunzi wa kihindi nahitaji mtu aliyesoma electronics-microcontollers aje hapa. Hakuna siasa.

Mediatek imetumika na
Huawei
Hisense
Sony experia

Na hao ni wazuri katika ict , tusiegemee kwenye swala la updates tu. Mbona unabadilisha simu kabla hata ya miezi 6 update zimeplay nini hapo?

umemiss kitu kimoja muhimu sana kila kampuni inachowaza inataka kumaximise profit. kina htc na sony wote sasa hivi wana hali mbaya any day htc anafilisika kama kampuni haitanunuliwa na huawei simu zake ambazo yupo serious anatumia soc zake inhouse ambazo ni kirin (japo nazo sio nzuri sana)

hili ni jukwaa la tech mimi nimeclaim
1.hazipati updates sana (zipo case za updates chache)
2. hazina customn rom (mediatek hawataki kutoa source code zao)
3. gpu zao zipo weak
4. modem zao si nzuri kuliko competition (wifi ya slow, band chache, lte isio na speed na mengine mengi)
5.single core perfomance ndogo wanaongeza tu idadi ya core
6. bado wanatumia process za zamani kama 28nm hivyo chip zao ni power hungry na zinamaliza battery upesi

hivyo na wewe jibu hizo claim na sio kusema watu wanasoma blog za kihindi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom