Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,131
- Thread starter
-
- #41
Long live Duro.Kwaiyo sasa tecno inauza bidhaa zake india?
nchi zote kubwa duniani si kunakuwa na chombo kinachopima simu zinazoingia nchini mwao. mifano ya hivyo vyombo ni kama TENAA (china), FCC (marekani) na nchi ambazo hazina vyombo vyake hutumia standard za vyombo vyengine, mfano India nae anatumia FCC.
ili simu iuzwe india inabidi iwe imefaulu vipimo kwanza ndo iingie sokoni,kwa maana hiyo kama tecno imeanza kuuzika huko India inamaana imefaulu vipimo ?(sar)level
Mkuu mbona model ni hizo hizo tu.Ndio mkuu lazima ipitie na ipimwe ila swali jengine muhimu zitakazouzwa huko ni model hizo hizo zitakazokuja huku?
mkuu kuna vi samsung vya kijinga saiv vimekaa kitecno tecno..kwa mfano grand prime pro yani vyepesi kioo nadhan hata sio amoledTecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..
Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??
Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Hizo ni lower end samsung , Kashajua watu wanapenda jina sasa inabidi awatengezee vya bei rahisi tu mana hakuna namnamkuu kuna vi samsung vya kijinga saiv vimekaa kitecno tecno..kwa mfano grand prime pro yani vyepesi kioo nadhan hata sio amoled
Hv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.Tecno ni vifaa vya mawasiliano unavyotumia ukiwa huna hela .ukipata pesa unanunua simu kama samsung ,nokia na iphone..
Watu wanaoitetea tecno kwamba wanaipenda wakipewa samsung na tecno ni nani atachagua tecno??
Watu tuseme ukweli tu kwamba ukiwa umeyumba kidogo unaymtumia tecno hilo halina ubishi lakini mtu akisema ana mapenzi na tecno aende akatubu tu
Ndio maana nakwamba watu kumiliki tecno nyingi sio mapenzi kwa brand ya tecno bali ni uchumi tuHv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.
Kwa upande fulani bei inaamua . Hivi ni watz wangapi wanauwezo wa kumiliki simu za 500k ?Ndio maana nakwamba watu kumiliki tecno nyingi sio mapenzi kwa brand ya tecno bali ni uchumi tu
Hongera mkuu. Ngoja sisi tupambane na duro kwanza.Ngoja nipambane na Coolpad yangu.
View attachment 963908View attachment 963909View attachment 963910
samsung nzuri ni j2 j5 na j6 za kabla ya mwaka 2018Hv kuna Samsung gani kali Og unaipata chini ya 5k?sasa check tecno ya 4 to 5 k viwango vyake ni vya hz simu zako za misifa za 8k kwenda juu.
Kuna tecno i3, i5 etc huko india, huku zipo?Mkuu mbona model ni hizo hizo tu.
Hii series kwa sasa sijaiona bongo.Kuna tecno i3, i5 etc huko india, huku zipo?
Bei hiyo ni ya jumia, ukienda dukani unakuta ni cheap kuliko. Niliwahi kuchungulia huko bei ya Tecno camon x, cha ajabu nikaenda kuinunua dukani kwa bei chee zaidi
Unachosema ni sahihi kabisa. Mimi huwa jumia natumia kama reference tu. Nikiona hapo kitu ni 100k najua chimbo itakua ni kwenye 80k[emoji1]Bei hiyo ni ya jumia, ukienda dukani unakuta ni cheap kuliko. Niliwahi kuchungulia huko bei ya Tecno camon x, cha ajabu nikaenda kuinunua dukani kwa bei chee zaidi
ipitishwe bungeni , wapige ban utumiaji wa tekno
Viva Samsung
Sasa hiyo bei usikute hiyo simu ni laki sita au tano na ushee, huko ukinunua au kwenda Tigoshop ujiandae kuuza kwa cha juuUnachosema ni sahihi kabisa. Mimi huwa jumia natumia kama reference tu. Nikiona hapo kitu ni 100k najua chimbo itakua ni kwenye 80k[emoji1]
Tigo shop/jumia wote ni wapigaji tu.Sasa hiyo bei usikute hiyo simu ni laki sita au tano na ushee, huko ukinunua au kwenda Tigoshop ujiandae kuuza kwa cha juu
Aliexpress kweli umenena, kule vitu ni kitonga kabisaTigo shop/jumia wote ni wapigaji tu.
Sehemu pekee yenye kitonga ni aliexpress.
Tz biashara ya mtandao ina gharama kubwa kuliko maduka ya kawaida