Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Muanzisha mada na team tecno wote wako kishabiki sana no matter how many facts watapewa. Ukitazama wote washabiki wa tecno wana sifa moja inayofanana... Wote husema utanunuaje simu ya milioni wakati kuna equivalent ya bei nafuu (tecno).

wakati mwingne co vizuri kuwapondea watu kwa kile kdgo walichonacho na wanachojifariji nacho, hakuna asiyependa kumiliki galaxy S5, au galaxy note, lakn vile mfuko wake haumruhusu ana m3, au p3, na anatumia android, anaona kashamaliza... kama mtu kazoea kusafiri na basi, utamconvice vipi kwamb ndege n bora kuliko basi?
 
Tecno hajawahi wala hata weza kuja kumkosesha usingizi Samsung na wenzake kamwe
Soko la tecno ni dogo sana kuliko unavyofikiria ukilinganisha na masoko ya manguli wa smartphones

Hiyo tecno haina soko hata huko uchina kwenyewe, asilimia kubwa ya wachina wanatumia Iphone na Samsung

Tecno inauzwa sehemu ambazo watu hawaangalii ubora wa kitu ila wanaangalia bora kitu.......Africa
 
Tunachozungumzia hapa ni affordable smartphone na siyo high end, mid-range au flagship smartphones... Kama alivyosema Shany C, "Zina Mapungufu madogo sana ukilinganisha na zile za makampuni makubwa kama HTC ambazo huuzwa kwa bei ghali sana kwenye mamilioni" so Tecno smartphones ni kwa ajili ya watu ambao hawajaamua au hawawezi kununua Simu kama Galaxy S5, HTC One M8 or M7.. Kama una uwezo, its good for you...
 
Tunachozungumzia hapa ni affordable smartphone na siyo high end, mid-range au flagship smartphones... Kama alivyosema Shany C, "Zina Mapungufu madogo sana ukilinganisha na zile za makampuni makubwa kama HTC ambazo huuzwa kwa bei ghali sana kwenye mamilioni" so Tecno smartphones ni kwa ajili ya watu ambao hawajaamua au hawawezi kununua Simu kama Galaxy S5, HTC One M8 or M7.. Kama una uwezo, its good for you...
 
Msaada nina tecno h5 ninapotumiwa sms inaonesha tu jina la mtumaji lakini message body haionekan,,anayejua tatizo naomba msaada
 
Mi napita mkuu !

Tecno H5 - Ndo naiskia Leo hii !

Tecno P9 - Nimeiskia juzi hapa !
!
 
Tecno hajawahi wala hata weza kuja kumkosesha usingizi Samsung na wenzake kamwe
Soko la tecno ni dogo sana kuliko unavyofikiria ukilinganisha na masoko ya manguli wa smartphones

Hiyo tecno haina soko hata huko uchina kwenyewe, asilimia kubwa ya wachina wanatumia Iphone na Samsung

Tecno inauzwa sehemu ambazo watu hawaangalii ubora wa kitu ila wanaangalia bora kitu.......Africa

mkuu ongeaga kama mtu mzima mwenye akil zake hivi umepata source wapi kwamba china asilimia kubwa wanatumia iphone na samsumg katafte evidence
 
Kuna mtu anaitwa shiny c humu,n wakala wa tacno tawi la jf..so mtafte atakusaidia..

Haya matatzo haukuti kwenye brand kubwa..


Sent via Tecno phantoom pad mini(p9)
 
Last edited by a moderator:
Tecno hata unipe bure sichukui,techo sio sim ni likifaa la mawasiliano tu. Mtu huwezi kutoka huko umebanwa na haja kubwa unakuja hapa kusema eti samsung,nokia,lg,iphone watasubiri kwa tecno,tecno???

mkuu jibu ki teknolojia basi mbona unaleta replies za kiswazi hapa
 
Back
Top Bottom