Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

teh teh teh.mkuu shiny c nadhan sio mda mrefu tangu ununue tecno then kila unapopita unakuta watu wanakudharau ndio maana wiki hii uko busy kujifariji humu JF..

mkuu,mimi natumia TECNO PHANTOM PAD MIN(p9) lakini ni kutokana na umasikini tu,ningekua na ela ningecheka na iPad au Galaxy tab 3..

mkuu unataka kutuaminisha kuwa mashirika ya viwango ya nchi zote za wazungu yanaongozwa na watu wasio na akili hadi Tecno zisiruhusiwe nchini mwao..

unataka kunambia watu wote duniani walionunua Flagship za Lumia,apple,samsung etc.. hwana akili kwa kutumia ela nyingi wakat ipo phantoom a3 ya bei chee.!

kiukweli tecno ni simu nzuri kwa hzi bei za 120000 lakin kama asemavyo chief-mkwawa kuwa kamwe sitatoa zaid ya laki2 na nusu kununua simu ya Tecno..

hzo R7 znazouzwa laki5 n bora ninunue s3...

USHAURI WA MWISHO
unapoteza muda wako wa thamani kulazimisha Nyeupe kuwa nyekundu,n kweli tecno n nzuri lakin n kwasababu ya umasikin wetu,ila sio bora ku compare na samsungs,iphones,nk..
na hilo haliji kubadirika,unazid kujidhalilisha humu..

ha ha mkuu si umeona raha ya tecno mtu wa tabaka la juu na la chini kama wewe hata wale wanaowaza utajiri wakiwa maskini wanaweza kuzinunua, Mchina sio mtu wa kumchukulia poa kijana hivi hujiulizi kwa nini marekani walimfungia soko huko kwao bada ya kuona wanalose competition kaa na utafakari mkuu wenzako w nje wana pesa yao ina thamani ya juu kununua cmu ya milioni kawaida huku utatangaza mtaa mzaima sasa we unasema hizo R7 ni laki 5 eti ni bora ukanunue s3 wakatii ushasema we masikini sikuelewi mkuu sijapoteza mda we ndo umepoteza mda kusoma kitu ambacho hata hakikuhusu
 
Hizi hizi Tecno ndo zinaifanya China mpaka kufikia mwisho wa mwaka huu iwe imemkalia USA, Ni kweli Tecno hazina ubora ila ukilinganisha ukongwe wa makampuni kama sumsung basi jamaa wanajitahidi sana, Na watanzania inatakiwa tulinganishe hizo simu na za kwetu, Bongo hata Tchinolojia ya kutengeneza thothpick bado haijafika.

China si mara ya kwanza anazalisha bidhaa and then Magharibi wanazipondea, ila wote walio kuwa wana mpondea alisha wapiga fimbo mbali sana na amebakia USA tu,
 
nimeusoma uzi huu kwa makini jinsi tecno team ilivyochangamka hapa.mimi sina mchango wowote maana ni ant tecno labda niwaulize swali na mnijbu,hivi manufacture wa tecno ni nani maana unapoinstall cpu z ktk simu za tecno mtengenezaji wa simu hizi hajulikani
 
Muanzisha mada na team tecno wote wako kishabiki sana no matter how many facts watapewa. Ukitazama wote washabiki wa tecno wana sifa moja inayofanana... Wote husema utanunuaje simu ya milioni wakati kuna equivalent ya bei nafuu (tecno).
 
Muanzisha mada na team tecno wote wako kishabiki sana no matter how many facts watapewa. Ukitazama wote washabiki wa tecno wana sifa moja inayofanana... Wote husema utanunuaje simu ya milioni wakati kuna equivalent ya bei nafuu (tecno).

Mkuu mimi kwanza sijawahi tumia Tecno ila ninacho sema ni kwamba TECNO kiukweli huwezi linganisha na makampuni mengine makubwa ya simu kama Nokia, na kazalika, Ila unapo kuja kwenye swala la kimaendeleo TECNO wanajitahidi sana ukilinganisha na umuri wao kwenye soko la simu,

Na China ina historia ya kutengeneza bidhaa nyingi na kuchekwa ila mwisho wa siku wao wanacho angalia ni kwamba hawataki kuagiza bidhaa kutoka nje.

China leo ndo nchi inayo ongoza kwa kuwa na akiba kubwa kabisa ya fedha za kigeni kuliko ncho yeyote ile Duniani na hii ni kwa sababu jamaa wana import mno kuliko ku export, na ni kwa staili hizi hizi za wakina Tecno ndo zinawafanya watoke,

Ila hawa jamaa kwa miaka michache ijayo wanaweza toa upinzani wa kufa mtu kwa makampuni makubwa ya simu,

Kingine ni kwambo Wao wameamua kuja na marketing strategies yao ya kuzalisha kwa ajili ya Africa na ni moja ya strategies katika soko, Unaweza waona wajinga au waoga kujikita Africa ila ni moja ya mbinu ya kutafuta capital ya kuingia kwenye masoko ya mabala mengine,
 
Nyie agents wa TECNO, acheni kutumia hili jukwaa kutangaza simu zenu hovyo. Nunueni nafasi za matangazo kwenye magazeti na TV kama wenzenu Samsung, Nokia na Sony. Narudia, acheni kuwa cheap kama hivyo vi simu vyenu feki. Kama mnajiamini jitangazeni kwa gharama siyo kujaza posts za Tecno humu
 
nimeusoma uzi huu kwa makini jinsi tecno team ilivyochangamka hapa.mimi sina mchango wowote maana ni ant tecno labda niwaulize swali na mnijbu,hivi manufacture wa tecno ni nani maana unapoinstall cpu z ktk simu za tecno mtengenezaji wa simu hizi hajulikani

kuna tecno orijinal na feki mkuu nadhani hiyo ni brand feki
 
Hata kama zingekuwa zinatolewa bure siwezi kuchukua hizo smart phones za tecno, ni low quality, haishangazi sana ndio maana zimeshushwa bei!
 
kama una akili na unajua kuhusu simu huwez kukubali kuuziwa Phantom A+ kwa laki 4 na nusu,labda ina deserve laki 2

mimi hili jukwaa la tech nalipenda kwasababu ya facts sasa kuna watu hawana facts then ndii wabishi ile mbaya.
 
Mkuu mimi kwanza sijawahi tumia Tecno ila ninacho sema ni kwamba TECNO kiukweli huwezi linganisha na makampuni mengine makubwa ya simu kama Nokia, na kazalika, Ila unapo kuja kwenye swala la kimaendeleo TECNO wanajitahidi sana ukilinganisha na umuri wao kwenye soko la simu,

Na China ina historia ya kutengeneza bidhaa nyingi na kuchekwa ila mwisho wa siku wao wanacho angalia ni kwamba hawataki kuagiza bidhaa kutoka nje.

China leo ndo nchi inayo ongoza kwa kuwa na akiba kubwa kabisa ya fedha za kigeni kuliko ncho yeyote ile Duniani na hii ni kwa sababu jamaa wana import mno kuliko ku export, na ni kwa staili hizi hizi za wakina Tecno ndo zinawafanya watoke,

Ila hawa jamaa kwa miaka michache ijayo wanaweza toa upinzani wa kufa mtu kwa makampuni makubwa ya simu,

Kingine ni kwambo Wao wameamua kuja na marketing strategies yao ya kuzalisha kwa ajili ya Africa na ni moja ya strategies katika soko, Unaweza waona wajinga au waoga kujikita Africa ila ni moja ya mbinu ya kutafuta capital ya kuingia kwenye masoko ya mabala mengine,

wachina sio wajinga kuja na strategy ya kuwa eti simu zinatengenezwa kwa ajili ya afrika, wao wanajua kabisa kuwa afrika ni jalala la simu na vifaa substandard na counterfeit. wachina wanajua muafrika ukimpunguzia hata sh.moja ataacha kununua kitu genuine anunue tecno, si tunapenda cheap, na wao wanatengeneza vifaa cheap wakavifananisha na vile expensive kisha watauza tu.

serikali zetu zimelala hawana muda kukagua ubora wa bidhaa zinazoingia, hebu leo tengeneza simu sawa na tecno halafu jaribu kuingiza china utashangaa, wao hawajali kuhusu export ila import wanadili nayo sana... halafu sis ndio tuko kifua mbele kushabikia tecno.

kuna bidhaa za china ambazo hata we mwenyewe ukiitumia unafurahi mfano bidhaa za huawei, zte ambazo hapa kwetu ni common huwezi kulinganisha na takataka kama tecno
 
Back
Top Bottom