Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Tecno smartphones ni miongoni mwa simu zinazokosesha raha makampuni makubwa kama samsung hapa bongo, hili kampuni limefanikiwa kupenyeza kiakili bidhaa zake kwenye soko, hakika hutajutia pesa yako maanaenjoy sana, vijana wengi unakuta life limemchapa ila mfukoni ana simu ya milioni huu ndo nauita ujinga, ya nini ununue kitu cha milioni wakati kuna smartphone za bei rahisi tena original, hizi ndo sababu za kununua tecno:

1.Unapata bidhaa kwa bei rahisi , watu wote wa juu na chini wanauwezo wa kuinunua bei ikianzia laki hadi laki nne kulingana na sifa za simu

2.Ubora na Ugumu ni wa hali ya juu huyu ni mchina original sio wale kina -tide wale wanaosema hazidumu naona wanafki, watu wanadumu nazo miaka na miaka

3.Unaweza kuichaji popote hata kwenye basi maana unapewa kifaa kinaitwa power bank ambacho hutunza nguvu za kuchajia simu, hivyo hata safari za vijijin itafaa uende na hii simu

4.Zina Mapungufu madogo sana ukilinganisha na zile za makampuni makubwa kama HTC ambazo huuzwa kwa bei ghali sana kwenye mamilioni , mwisho wa siku unakuta vitu ni vidogo sana vilivyoizidi tecno mfano labda kuna simu zinakunjika ila tecno haiwez na kuna simu nyingine waweza tumia kwenye maji ila simu nyingi kama tecno haziwezi, na mapungufu mengine madogo sana

5.Ni simu iliyokaa kimawasiliano sana maana inapiga simu hata kwa njia ya internet na pia ina application kama whatsapp na facebook bila kusahau hii simu imeongezewa sehemu ya kuweka laini ya pili.

6.GUARANTEE MWAKA MZIMA-Pale unaponunua simu yako basi ukipatwa na tatizo kwenye simu au ikiharibika unarusia kwenda kuchukua nyingine mpya na kurudisha iliyoharibika kwa sababu zimazojulikana
 
kibaya chaji tembeza na kizuri.......................................?????
 
Mimi kama mdau wa IT/electronics ninakubaliana na wewe 100% nimetumia tecno na ninazidi kuitumia kiukweli ni simu bora na haijaniangusha kwa lolote... na kila niliyemshauri anunue tecno especially P5 naye amefurahi na wengine hadi wameboresha na kununua H5, M5.

Ni uhakika kwamba atakayenunua tecno mobile hatojutia pesa yake kamwe!!!

Features zake:
1.internal storage ya uhakika
2.external SD card 8GB
3.Dual sim cards (Hapo ndio wameshika kweli, samsung chaaaali)
4.Battery ya uhakika.
5.CPU -affordable processor MTK (hapo ni kama dell na AMD)


Tecno smartphones ni miongoni mwa simu zinazokosesha raha makampuni makubwa kama samsung hapa bongo, hili kampuni limefanikiwa kupenyeza kiakili bidhaa zake kwenye soko, hakika hutajutia pesa yako maanaenjoy sana, vijana wengi unakuta life limemchapa ila mfukoni ana simu ya milioni huu ndo nauita ujinga, ya nini ununue kitu cha milioni wakati kuna smartphone za bei rahisi tena original, hizi ndo sababu za kununua tecno:

1.Unapata bidhaa kwa bei rahisi , watu wote wa juu na chini wanauwezo wa kuinunua bei ikianzia laki hadi laki nne kulingana na sifa za simu

2.Ubora na Ugumu ni wa hali ya juu huyu ni mchina original sio wale kina -tide wale wanaosema hazidumu naona wanafki, watu wanadumu nazo miaka na miaka

3.Unaweza kuichaji popote hata kwenye basi maana unapewa kifaa kinaitwa power bank ambacho hutunza nguvu za kuchajia simu, hivyo hata safari za vijijin itafaa uende na hii simu

4.Zina Mapungufu madogo sana ukilinganisha na zile za makampuni makubwa kama HTC ambazo huuzwa kwa bei ghali sana kwenye mamilioni , mwisho wa siku unakuta vitu ni vidogo sana vilivyoizidi tecno mfano labda kuna simu zinakunjika ila tecno haiwez na kuna simu nyingine waweza tumia kwenye maji ila simu nyingi kama tecno haziwezi, na mapungufu mengine madogo sana

5.Ni simu iliyokaa kimawasiliano sana maana inapiga simu hata kwa njia ya internet na pia ina application kama whatsapp na facebook bila kusahau hii simu imeongezewa sehemu ya kuweka laini ya pili.
 
Mimi kama mdau wa IT/electronics ninakubaliana na wewe 100% nimetumia tecno na ninazidi kuitumia kiukweli ni simu bora na haijaniangusha kwa lolote... na kila niliyemshauri anunue tecno especially P5 naye amefurahi na wengine hadi wameboresha na kununua H5, M5.

Ni uhakika kwamba atakayenunua tecno mobile hatojutia pesa yake kamwe!!!

Features zake:
1.internal storage ya uhakika
2.external SD card 8GB
3.Dual sim cards (Hapo ndio wameshika kweli, samsung chaaaali)
4.Battery ya uhakika.
5.CPU -affordable processor MTK (hapo ni kama dell na AMD)

hiyo external sD Card ndo wamebugi gb 8 tu? Wakati yangu inasapoti mpaka 32gb na haijafika hata laki.
 
teh teh teh.mkuu shiny c nadhan sio mda mrefu tangu ununue tecno then kila unapopita unakuta watu wanakudharau ndio maana wiki hii uko busy kujifariji humu JF..

mkuu,mimi natumia TECNO PHANTOM PAD MIN(p9) lakini ni kutokana na umasikini tu,ningekua na ela ningecheka na iPad au Galaxy tab 3..

mkuu unataka kutuaminisha kuwa mashirika ya viwango ya nchi zote za wazungu yanaongozwa na watu wasio na akili hadi Tecno zisiruhusiwe nchini mwao..

unataka kunambia watu wote duniani walionunua Flagship za Lumia,apple,samsung etc.. hwana akili kwa kutumia ela nyingi wakat ipo phantoom a3 ya bei chee.!

kiukweli tecno ni simu nzuri kwa hzi bei za 120000 lakin kama asemavyo chief-mkwawa kuwa kamwe sitatoa zaid ya laki2 na nusu kununua simu ya Tecno..

hzo R7 znazouzwa laki5 n bora ninunue s3...

USHAURI WA MWISHO
unapoteza muda wako wa thamani kulazimisha Nyeupe kuwa nyekundu,n kweli tecno n nzuri lakin n kwasababu ya umasikin wetu,ila sio bora ku compare na samsungs,iphones,nk..
na hilo haliji kubadirika,unazid kujidhalilisha humu..
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh.mkuu shiny c nadhan sio mda mrefu tangu ununue tecno then kila unapopita unakuta watu wanakudharau ndio maana wiki hii uko busy kujifariji humu JF..

mkuu,mimi natumia TECNO PHANTOM PAD MIN(p9) lakini ni kutokana na umasikini tu,ningekua na ela ningecheka na iPad au Galaxy tab 3..

mkuu unataka kutuaminisha kuwa mashirika ya viwango ya nchi zote za wazungu yanaongozwa na watu wasio na akili hadi Tecno zisiruhusiwe nchini mwao..

unataka kunambia watu wote duniani walionunua Flagship za Lumia,apple,samsung etc.. hwana akili kwa kutumia ela nyingi wakat ipo phantoom a3 ya bei chee.!

kiukweli tecno ni simu nzuri kwa hzi bei za 120000 lakin kama asemavyo chief-mkwawa kuwa kamwe sitatoa zaid ya laki2 na nusu kununua simu ya Tecno..

hzo R7 znazouzwa laki5 n bora ninunue s3...

USHAURI WA MWISHO
unapoteza muda wako wa thamani kulazimisha Nyeupe kuwa nyekundu,n kweli tecno n nzuri lakin n kwasababu ya umasikin wetu,ila sio bora ku compare na samsungs,iphones,nk..
na hilo haliji kubadirika,unazid kujidhalilisha humu..
Ni sawa na Glanza yangu simply becoz ninatembea nimekaa nikajifariji kwa kujilinganisha na Verosa
 
Hipi bora kati ya hizi tecno mobile? Na bei zake je?
Wataalam mnakaribishwa!
Na ningependa kujua umuhimu wa processor kubwa na ndogo au umuhimu wa RAM kubwa na ndogo.

Pia weakness zake kila moja.





Tecno S5
Screen 4.5 inches
Internal 4gb
Os 4.2.2 jelly bean android
Processor 1.3ghz
RAM 512

Tecno F5
Screen 4.0 inches
Internal 4gb
Os 4.2:2 jelly bean
Processor 1.3 ghz
RAM 1gb

Tecno M5
Screen 4.5 inches
Internal 4gb
Os android 4.2.2 jelly bean
RAM 1gb
Internal 4gb

Tecno H5
Screen 4.0 inches
Internal 4gb
Ram 512
Processor 1.0 ghz



Cc CHIEF MKWAWA na wataalam wengine.
 
Last edited by a moderator:
Mtu ambae anajua maana ya smartphone na ana hela ya kutosha kununua simu ya kueleweka hawezi kusettle kwa something less kama tecno,
 
Back
Top Bottom