KUN
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 382
- 80
Wakuu ninatumia simu aina ya Tecno M5 ila imekuwa ukisumbua kwenye battery, haikai na chaji kwa mda mrefu maximum 1.5 days! Nimejaribu kutafuta beattery kwenye maduka lakini sijafanikiwa kupata, kwayeyote anayejua wapi naweza pata battery kwa hapa Dar es Slaam naomba anielekeze.
Asante sana.
Asante sana.