Tecno -J8 inajizima na kujiwasha

Tecno -J8 inajizima na kujiwasha

Mathias1981

Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
69
Reaction score
19
Habari zenu wakuu,
Nahitaji msaada wenu juu ya simu iyo tajwa hapo juu, imeanza tatizo la kujizima na kujiwasha pindi ninapotaka kupokea simu iliyopigwa, na pia wakati flani namba zinajionyesha bila jina ingawa zimehifadhiwa ktk kitabu cha simu, mwenye suluhisho tafadhali anisaidie.
 
Hapo umeishikilia vbaya Simu yangu kumbuka button ya off&on iko katikati kwa pembeni uki long press inajirestart Simu , hata mm Ttzo Hilo lilinikuta unachtakiwa kuangalia usiibonyeze hiyo button
 
Hapo umeishikilia vbaya Simu yangu kumbuka button ya off&on iko katikati kwa pembeni uki long press inajirestart Simu , hata mm Ttzo Hilo lilinikuta unachtakiwa kuangalia usiibonyeze hiyo button

Wewe kilichokuwa kinakupata ulikuwa ushamba, ila mwenzako ni tatizo la kitaalam, usimchanganye
 
Mm ndo nimeanza kutumia smartphone wakuu..... No need to panic
 
asanteni wakuu wote kwa ushauri but .je hakuna njia yyt labda takufanya bila.kufomat???ama.hakuna application yakusolve hili suala??asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom