Technology Yetu miaka 10 ijayo je tutakuwa wapi?

Technology Yetu miaka 10 ijayo je tutakuwa wapi?

Nahisi Digital Immortality tutakuwa tumefanikishwa au tupo stages za mwisho kufanikisha
 
Ni kweli everything now is automated lakini kupitia automation new jobs will be created and old system will be destroyed
Automation tayari inaondoa low hanging fruit jobs. 5 years ago kuwa copywriter ilikuwa deal. Leo? AI no click policy ilinipokonya kazi last year.

Tufocus kwenye jobs being created. It's true that people who use AI will soon replace people who don't.
 
Unatazama mambo kwa dimension ya kukata tamaa Sana.
Africa tuna mchango adhimu Sana.
1. Malighafi ya kufanikisha tech.
2. Soko la hizo tech.
Soko la Afrika ni Zuri na rahisi. Sema ni low ticket kwa hiyo kaza kwenye benefits na deep problems. Kuna vitu navitengeneza ntaleta mrejesho
 
Automation tayari inaondoa low hanging fruit jobs. 5 years ago kuwa copywriter ilikuwa deal. Leo? AI no click policy ilinipokonya kazi last year.

Tufocus kwenye jobs being created. It's true that people who use AI will soon replace people who don't.
Kweli mkuu ujinga ni kutegemea vya past na kutokukubali ku adopt new technology kwasababu ya past tech
 
Watu wamekikimbia kilimo, ila miaka ya mbele ardhi itakuwa deal sana haijalishi eneo litakalo kuwepo. Hizi automation level inayo enda zitakuwa na uwezo wa kujirekebisha zenyewe na kujiupdate zenyewe, bila msaada wa binadamu. Nilimsikiliza Mark Zuckerberg juzi akifanyiwa Interview wanaplan ya kupunguza Madeveloper na kuacha kazi nyingi zifanywe na AI na anadai kuna kampuni nyingine zimeshaanza kuimplement hili.
 
Watu wamekikimbia kilimo, ila miaka ya mbele ardhi itakuwa deal sana haijalishi eneo litakalo kuwepo. Hizi automation level inayo enda zitakuwa na uwezo wa kujirekebisha zenyewe na kujiupdate zenyewe, bila msaada wa binadamu. Nilimsikiliza Mark Zuckerberg juzi akifanyiwa Interview wanaplan ya kupunguza Madeveloper na kuacha kazi nyingi zifanywe na AI na anadai kuna kampuni nyingine zimeshaanza kuimplement hili.
Production ya chakula haiwezi kuwa replaced lakini mbeleni machine zitakazo simplify kazi nazo kwenye kilimo zitakuwepo labour force itapungua sana lakini landlords lazima wabenefit kwenye technology
 
Production ya chakula haiwezi kuwa replaced lakini mbeleni machine zitakazo simplify kazi nazo kwenye kilimo zitakuwepo labour force itapungua sana lakini landlords lazima wabenefit kwenye technology
Sijakataa ndio maana nimesema kilimo na ardhi vitakuwa deal sana.Maendeleo ya AI yanatisha yaani mpaka walio gundua wanaogopa .Elon Musk mwenyewe alisema kwa wanao tengeneza hizi robot, wasizi update kupitia online kwani zinaweza kuwa hacked na kupewa instructions nyingine zenye nia ya kuharibu.

Kuna mzee mmoja aliacha kazi Google, Geoffrey Hinton aka Godfather of AI kitu ambacho anawasiwasi kwa miaka ya mbele AI zitakuwa na uwezo wa kujisahihisha zenyewe na kujifnyia upgrading, kitendo hiko kinampa wasiwasi kuna siku zitaenda completely kinyume na kinavyo takiwa kufanya.

Na kuna documentary moja (The social Dilema) kuna Madeveloper walio acha kazi FB,Google na kampuni nyingine za IT wanaonya sana matumizi ya AI,kwani wanadai wenye hizi kampuni wameanza kuzitumia ndivyo sivyo.
 
Back
Top Bottom