Technically, huwezi shindana na serikali, never

Technically, huwezi shindana na serikali, never

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Pale mwajiriwa anapomtambia mwajiri.Kila nikitazama naona tupo Urusi
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naona leo hujaleta habari za mpira.

Amani kwanza
 
Serikali ni wananchi, wananchi wanataka kutekwa wanapinga hoja za Gwajima😁
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Zipo nchi nyingi sana raia walipochoka walipindua serikali
 
Je upo tayari aman ya nchi ipotee

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sitakujibu kulingana na swali lako hapo juu...ila nakwambia JIFUNZE KUIPAMBANIA HAKI YAKO hata kama itakughalim uhai wako. hizi kauli za sijui amani ya nchi. ndizo zimefanya mpaka tumefika hapa(taifa ambalo mtu anaonewa,anadhulumiwa,lakin anaogopa kudai haki yake kwa kuhofia kuvuruga amani ya nchi..)
 
Sitakujibu kulingana na swali lako hapo juu...ila nakwambia JIFUNZE KUIPAMBANIA HAKI YAKO hata kama itakughalim uhai wako. hizi kauli za sijui amani ya nchi. ndizo zimefanya mpaka tumefika hapa(taifa ambalo mtu anaonewa,anadhulumiwa,lakin anaogopa kudai haki yake kwa kuhofia kuvuruga amani ya nchi..)
Sometimes it's better kuwa mnyonge mkuu......mambo ya kupambana haki ndo yanasababisha kuvuruga utengamano

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Then ikawa civil wars

Amani tuilinde no matter what

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Serikali dhalimu zimeshapinduliwa nyingi sana na still nchi hizo zimeendelea sana Tanzania yenye amani inazidi kudidimia huku watawala wakizidi kutafuna rasilimali za mama Tanzania na wakikemewa wasifisadi nchi wanakimbilia kusema tuitunze amani hata ikibidi kwa wao kuendelea kuteka, kuua, kuiba na kwa kufanya uchafu mwingine mwingi sana.
 
Back
Top Bottom