Tech & Gadgets: Jukwaa linavyozidi kupoteza Threads zenye mvuto na old members 2015

Tech & Gadgets: Jukwaa linavyozidi kupoteza Threads zenye mvuto na old members 2015

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,523
Reaction score
2,164
30.jpg

"Tech & Gadgets" linavyopoteza Thread zenye Mvuto na Kuwa jukwaa la Misaada 2015

N:B Ain't joined here long ago, but atleast i know then and now.

Siku zinavyozidi songa mbele jukwaa letu pendwa linazidi poteza sifa stahiki, zamani nilizoea kuskia tu jukwaa bora(ustaarabu na hekima) ni jukwaa la TECH, lakini siku zinavyozidi songa mambo nayo yanazidi kubadilika.

Old members waliokuwa na Reputation(non-dashboard) kubwa wamezidi kutoweka, sio kwamba hawatembelei kabisa JF "No" lakini mtu anapita tu maana kaona thread za ovyo kwenye jukwaa letu hili la Tech and Gadgets.

Kuna members walionipokea enzi najoin JF mara baada yakuwa interested na mada zinakuwa discussed kwenye jukwaa hili, Thread ambazo ukiona title tu unapata hata hamasa kubwa tu yakuifungua, na ukifungua hizo thread unakuta point za maana tu.


  • Kulikuwa na best Threads of the Year lakini siku hizi hata hizo best thread kuzipata tu ni issue kubwa sana, maana zimejaa Thread za matatizo/misaada, sio tatizo jukwaa kujaa sana mthread za misaada, lakini hizo thread ukisoma tu title hazina challenge yeyote. Mtu thread title kaandika "Iphone 6" mwingine kaandika "Facebook inagoma" yaani hata kufungua tu hizo thread unaona bora utake a rest with babydrama aside.
  • Mbaya zaidi Thread za maana siku hizi zina replies 2/1/0,
  • Threads za Shigongo zimejaa siku hizi, yaani mtu anakuandikia title ili uelewe ni mpaka uifungue ndani bila hivyo ni impossible, yaani ukisoma tena unapoteza tu uelewa ulio nao (unaloose badala yakugain)
  • SEXTING threads nazo kibao, yaani mtu anakuandikia maneno kama anayoandikiana na mpenziwe kwenye messaging wall (si/c,the/ze,to/2,for/4)

For sure sielewi baada ya miaka 5 mbeleni itakuwaje, HQ members wengi ni nadra siku hizi kwenye kila category,

GRAPHICS DESIGNING & ANIMATING 2D/3D


PROGRAMMING


COMPUTING-incl "MOBILE ERAND & PC TRICKS"


snipa 2015
 
Ofcoz its an issue, i used to visit a lot hii page, ila siku hizi hakuna interesting content kabisa, in the end there's nothing to learn here, hakuna challenges, alafu watu wanaodanganya wenzao wamejaa, hawajui vitu wanajua terminologies tu ndo utakuta wako mstari wa mbele kujibu rubbish and when you try to correct them wanazidi kuonyesha ujinga wao, watakuja na tech vocabularies just to prove their point kwamba they know things when its a fact that they don't.

I spend most of my time on Quora na stackoverflow, ila mostly on Quora, its more social na i get to learn a lot from there japo wabongo nshawahi kukutana na mmoja tu kule.
 
Snipa you have a point lakini kitu ambacho unatakiwa kukijua ni kwamba siku zote dunia haiendelei kwa mambo makubwa makubwa ni vitu vidogo vidogo tu ndio vinabadilisha maisha ya watu. Professionals kama wewe, njunwa, null pointer chief mkwawa nk mnaweza anzisha thread zenu technical mkaelimishana huko kwa level yenu sisi tukawa wasomaji tu na kuokota tutakavyookota huko.

Kinachotokea hapa ni kwamba hili jukwaaa halina restriction ya nani aingie na nani asiingie na halichagui level ya elimu ya member kinachotokea sasa hivi ni kwamba namba users ime outweigh number ya tech persons ndio maana hili linatokea kwa hiyo muwe wavumilivu.

Knowledge which is not shared is a form of witchcraft kwa hiyo nawaomba muendeleee kutoa michango yenu msichoke jamani. Ingawa inaudhi mtu anaanzisha thread ambayo in majibu very straight kule google.
 
kijumbamshale
Actually you say what's right to say lakini ni at the wrong place, certainly i mean this, you won't endup a day bila kuona hii sentensi "JF the home of great Thinkers"
Lakini kwa maelezo yako hapo juu unajaribu kuonyesha jinsi gani umesahau kwamba JF ni the home of great thinkers lakini kwa jinsi siku zinavyokwenda na kwa maelezo yako hayo sijui itakuwa ni the home of nini !

Angalia forums nyingine kama utaweza kutana na Thread za ajabu kama unazozitetea wewe, nazungumzia thread za Science & Tech, mtu anakuandikia title "Iphone 6" bannable offensive ain't it ? lakini here is allowed, na hii inajenga picha yakuwa miaka ya mbele thread title zitakuwa "hi", "wasalam" n.k

Tusitetee vitu eti kwasabu yakuwa tunatofautiana uelewa, na ndomana pale juu nimesema siyo tatizo jukwaa kujaa thread za misaada, lakini namna zinavyowekwa ni tatizo kubwa sana, alafu mkuu hivi tunaendelea au tunarudi nyuma kama unavyodai hapo juu ? heartily answer your own.

Show them were to fish and give them net, they will thanksgive you whole of their lives.
 
NullPointer sahihi kabisa, watu wanajaribu shit-showoff(s) kwakutumia maneno wanayoyakuta google, it's very amusing mwingine anakwambia kacustomize non 4G device tena simu afu inashika 4G, kwa uelewa wakawaida unawezakuona kwamba mtu kasoma blogs titles za puddies puddies huko, bila kujua kwamba haiwezekani na mwenye blog anafanya search engine optimization tu.
 
Last edited by a moderator:
snipa asante kwa kuni-tag.ni mda mrefu sijatembelea jukwaa hili.nikipata wasaa wa kutosha nitarudi tena kuchangia.
shukrani sana.
 
Last edited by a moderator:
Hili tatizo kuna thread nililisema sikumbuki ilikuwa mwaka gani. Ila halikuchukuliw uzito wowote. Kingine ni kukosa morale kwa sababu ya undava flani. Hili naomba niishie hapa, nadhani wahusika wameelewa Namaanisha nini
 
Hili tatizo kuna thread nililisema sikumbuki ilikuwa mwaka gani. Ila halikuchukuliw uzito wowote.
Ni mwaka jana ilikua nakumbuka vizuri, after being mentioned concerning your appearance here, ila which thread ain't well recall and i'has been searched on Google without any successful yet.
Kingine ni kukosa morale kwa sababu ya undava flani.
Hili suala ni sahihi kabisa mkuu na tena limeniface sana binafsi, sio siri sometimes yataka moyo sana, i've been mistreated alot tena mtu from nowhere anakuletea mambo ambayo yako wazi kabisa kuwa ni chuki zisizo na msingi wowote, just because they sometimes don know a thing alike you.
Hili naomba niishie hapa, nadhani wahusika wameelewa Namaanisha nini
 
snipa asante kwa kuni-tag.ni mda mrefu sijatembelea jukwaa hili.nikipata wasaa wa kutosha nitarudi tena kuchangia.
shukrani sana.

Don't worry mkuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Duh sijui group litafika wapi nimelikumbuka kweli.
 
Srebrina revive it son..

I am new and the technology enthusiast
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Millah akikutana na CHEF Mkwawa wakianza kumwagiana Data hapa lazima utoke Mwalimu sijui kapotelea wapi huyo jamaa.

Hata hivyo heshima kubwa iende kwa Chief maana amekuwa na moyo wa dhati na hili jukwaa, hata akiulizwa maswali ya kupuuzi (kwa mtazamo wa mwingine) atakujibu tu!

Changamoto kwa wataalamu wa hili jukwaa ni kuanzisha mada za utafiti, sio kusubiri kuombwa misaada na wana JF kwenye matatizo madogomadogo.
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Millah akikutana na CHEF Mkwawa wakianza kumwagiana Data hapa lazima utoke Mwalimu sijui kapotelea wapi huyo jamaa.

Hata hivyo heshima kubwa iende kwa Chief maana amekuwa na moyo wa dhati na hili jukwaa, hata akiulizwa maswali ya kupuuzi (kwa mtazamo wa mwingine) atakujibu tu!

Changamoto kwa wataalamu wa hili jukwaa ni kuanzisha mada za utafiti, sio kusubiri kuombwa misaada na wana JF kwenye matatizo madogomadogo.

Umeongea point mkuu!
 
Last edited by a moderator:
snipa

hahahahahaha achana nao sasa ni muda wakushauriana ni jinsi gani tuta ijenga tena jamiiforum iwe kama ya zamani
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo mada ni nzuri na ni bora na watu wengi wamejifunza kupitia hiyo, ila sasa leteni mpya!

Kwa nini galaxy s6 ni bora kuliko iPhone 6?

Tunataka shule yenye msingi, sisi wengine hatuna utaalamu wowote ule kuhusu tecnojia ila tukipitia hapa tutakuwa wataalamu huko mitaani!
 
Mkuu hiyo mada ni nzuri na ni bora na watu wengi wamejifunza kupitia hiyo, ila sasa leteni mpya!

Kwa nini galaxy s6 ni bora kuliko iPhone 6?

Tunataka shule yenye msingi, sisi wengine hatuna utaalamu wowote ule kuhusu tecnojia ila tukipitia hapa tutakuwa wataalamu huko mitaani!

kwani ukishajua kati ya s6 na iOS 6 ipi ni bora itakusaidia nini?
 
Mkuu hiyo mada ni nzuri na ni bora na watu wengi wamejifunza kupitia hiyo, ila sasa leteni mpya!

Kwa nini galaxy s6 ni bora kuliko iPhone 6?

Tunataka shule yenye msingi, sisi wengine hatuna utaalamu wowote ule kuhusu tecnojia ila tukipitia hapa tutakuwa wataalamu huko mitaani!

na huo utaalam wa kutaka kujua vitu ambavyo havina maana ndio vimeua jamiiforums
 
Back
Top Bottom