TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kazi yao ni kujenga makanisa waumini wajihifadhi humo ndani wasipigwe na mvua wala jua sio kujenga hospital na shule hiyo sio kazi yao ni kazi ya serikali kwa 100%.

Then you know nothing about kanisa.
Ita seems uko shallow sana kuhusu kanisa.
Kajifunze upya, kanisa linaenda deep sana si dini tu
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
Wanasimamia waumin, ambao wanalipa Kodi, na wanaathiliwa maisha Yao na Sera dhalimu kama za, CCM, huwezi ukahubili Mambo yq kiroho, kwa watu, ambao miili Yao, inadhuliwa na siasa za, kijwmbazi, harafu ukajifanya huoni!
Siasa ni, zetu wote,maana zinaendeshwa kwa, Kodi zetu, motherfuckers, cock suckers ndio ambao hawataki tujihusishe na siasa.
 
Mwaka huu Chawa na mkuu wao watakunya blue. Naona miamba imejimwaga mazima. Ruwa'ichi namuona anatema madini. Sasa hawataachiwa tu waumini viungozi wako front hadi haki ipatikane. Ile existential threat inayoletwa na DP world kwao TEC sasa wako frontline hadi madamu ateme damu!
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
Una wivu na chuki za kijinga sana. Unashindwa kuwa na akili ndogo tu ya kutambua hao ni viongozi wa kidini, na hivyo wanawakilisha makundi ya waumini wao.

Haya sasa na KKKT nao wamealikwa! Una lipi la kusema?
 
TEC ni Taasisi pekee iliyo na viongozi wenye maono ya nchi na sio chawa wa kujipendekeza. Wanaoishtumu TEC hawana hoja ya kupingana nao, ila kutetea na kutaka kuuendeleza usułtani wa chama kile. Ukweli wake unawatishia sana mafisadi na madalali wa nchi hii! Ukisikia kelele gizani ujue jiwe limewapata🫢🫢🫢
 
TEC ni Taasisi pekee iliyo na viongozi wenye maono ya nchi na sio chawa wa kujipendekeza. Wanaoishtumu TEC hawana hoja ya kupingana nao, ila kutetea na kutaka kuuendeleza usułtani wa chama kile. Ukweli wake unawatishia sana mafisadi na madalali wa nchi hii! Ukisikia kelele gizani ujue jiwe limewapata🫢🫢🫢
Wewe ni mkomunisti ?
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
.....zamani walitulia mlidhani hawana akili sasa hivi mnatoa kila aina y milio
 
Walioleta dini ndo waliileta siasa nyumbani kwako, kwakua uliamua kuwapokea basi huna budi kuishi nao kwa namna yoyote ile
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?

Kasome the Catholic Social Doctrine, utaelewa
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
Swali hili ungemuuliza Magufuli aliyekuwa akiongozana na viongozi wa dini karibu kila tukio la kitaifa. Sijuhi tunafeli wapi, viongozi wa dini wakisifia serikali hata pale ilipofanya madudu si kosa, taabu inakuja pale wapokosoa au kutoa maoni yanayoenda kinyume na mtizamo au maamzi ya serikali.

Viongozi wa dini ni wana jamii na wapo pia kuangali usitawi wa jamii. Bila kutafuna maneno Katoliki inaongozwa na wasomi walioenda shule na kuiva tofauti na viongozi wa dini nyingine yoyote ile unayoifahamu hapa Tanzania na ni taasisi kubwa na pana hivyo ni vigumu kuwayumbisha au kuwatisha.
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endele
 
Nafungua maswali na uzi wangu kwa nukuu hii" KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA".

Hivi hili Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

Kwa nini mijadala mingi na mambo mengi ya kisiasa wanakuwa nayo kimbelembele kuyazungumzia na kuyatolea matamko na waraka lakini mambo yao ya kidini yanayo husisha masuala kadha wa kadha yenye mikanganyiko wanaficha vichwa ndani ya mashuka na kukaa kimya kama hawajui chochote kile?

Kwani nini TEC isisajiliwe rasmi na kujulikana chama cha kisiasa official kuliko haya maigizo yanayo endelea?
Na hufanya hivyo tu pale ambapo Raia namba moja akiwa ni mvaa kobasi
 
Afadhali watusaidie wananchi kusema kabla ya kufika mahala pa kuchoka na kuanza kuingia barabarani na mabango.

Kinga ni bora kuliko tiba.

Hao ni wawakilishi wa wananchi.

Baada ya bungee kuwa mkusanyiko wa machawa na raba stempu?’!
 
Back
Top Bottom