MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Ah...we acha tu
nimekumic je ndugu
Ah...we acha tu
Wengine wanajichubua mpk ukikutana nae unaskia kichefchef.
haahaa, afu na yule shoga ako nmemwona kaanza kujipiga deki skuizii!
afu wanakumbukaga usoni tu upate bahati umchungulie t..a..k..o !!
Kongosho ahsante kwa picha nimecheka mpaka basii miieee kwa raha zanguu
ah mi unanchoooosha!
maswali gani hayo?
yule hapigi deki ila katoa kabisa rough sakafu kaweka tiles!
nxt tym usiwe unauliza maswali obvious hiv kama mdomo na meno!
ha ha ha ha....sikutegemea kutoa komento lakini imebidi. Nimewaza mengi kwa komenti yako...
ha ha haaaa
Yupi tena jamani
yule wa k......i, au wa 2liver haahaa...., tuliver na tumbavu twangu tunauma kwa kucheka maana jamii forum nizaidi ya stress free zone aisee! (just joking)