Team ya wapiga deki mpooo!

Team ya wapiga deki mpooo!

Lol

Bi chau hajajichubua


Just her natural color coming out,finally.....
 
usicheeeke wewe!
mwenzako mi nna mawaaaaazo!
hapa nawaza sijui wakiwa wanajiangalia kweny kioo hawastukaagi!

kioo kinadanganya wewe !!! We siku chukua resi wigi vaa afu ubandike kope upake na rangi ya zambarau juu ya macho,ubandike kucha vidoleni afu jiangalieee!!!
 
Wengine wanajichubua mpk ukikutana nae unaskia kichefchef.
 
Munkari ukuje!
hii sasa si unajikuta tu unampigia kova simu?
afande kuna tukio la utekaji nyara hukuu!

ha hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahha!!!!!!!! Wallah sina rafiki mtaani !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Yaan unakuta mtu ana rangi kumi mwilini mwake usoni rangi 5 miguu rangi 2 na ndani ya mwili nako rangi 2 sasa sijui wanaume hua wanaoa upinde wa mvuaa

Pale the river between mkorogo unagoma basi zile contrast za rangi zinatia kinyaa kabisa
 
kioo kinadanganya wewe !!! We siku chukua resi wigi vaa afu ubandike kope upake na rangi ya zambalau juu,ubandike kucha vidoleni afu jiangalieee!!!
hapo kweny rangi juu ya kope nitapaka rangi tstu,zambarau,pink,na gold!
zitamechicha?
 
Me huwa napata kichefuchefu kabisa nikikutana na mtu aliyejichubua. Wanakuwa kama kitimoto mbichi bhana...
 
hmmm jana nilimwona wema kwakweliiiiiii hnnnmmmm hatariiiii....

af ujue kuwa weusi mwisho kijijini mjini wote weupe
 
kioo kinadanganya wewe !!! We siku chukua resi wigi vaa afu ubandike kope upake na rangi ya zambarau juu ya macho,ubandike kucha vidoleni afu jiangalieee!!!

Unakua kama jini makataaaa
 
Nilishajaribu kuchepuka na mpiga deki dah!!hawana radha unaona kama unachukua kitimoto.
 
Back
Top Bottom