snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
we naeeeeeHahaha... Hii nayo mupya au ndio #team_michambo ?
THIIIINK!
we naeeeeeHahaha... Hii nayo mupya au ndio #team_michambo ?
Yaan unakuta mtu ana rangi kumi mwilini mwake usoni rangi 5 miguu rangi 2 na ndani ya mwili nako rangi 2 sasa sijui wanaume hua wanaoa upinde wa mvuaa
wamejichubua sura zimenyonyoka kama paka mweusi aliyemwagiwa maziwa.....
we naeeeee
THIIIINK!
ahahahaha ngoja Dina akutangaze ye ndo yupo na lile gari la mobile broadcasting!lina supika kuuuuubwa wewe!
hapo; Unamkusudia mtu au mwenza..?Jamanii jamaniii jamanii wajameniiiiiiiiii natumaini hamjambo wote, wagonjwa poleni mtapona semenii AMINAA
Jamani kujichubua kujibadili ngozii kutoka ngozi nyeusi hadi nyeupe kunawatesa watu kisa sijui kutafuta uzurii/urembo hata sielewiiii hadi wanaume nao wanajichubuaa sijui watongozwe nao hata sielewi ndio maana wanaume wamekuwa wachache!
Nimemuona Bi Chau ngozi imekua kama tambara la dekii liliotafunwaa halafu liwe limedekiwa miaka miwili kama ushaliona hilo tambara la deki ndio ngozii ilivyo kaharibika kapaka make up sijui mapouda lakini bado usoni ana ramani ya EAST AFRIKA
Kama we ni mweusi ridhika kama ulivyo ,,kama we ni rangi ya mtume ridhika ulivyo usithubutu kujipiga dekiii mnaharibika mno mnakomaa kweli sijui hamjionii yaan na harufu ya cream mbaya mbayaa,wengi tu tunawaona mlivyoharibika na mtaona wanakuja kuchangia povu linawatokaa hilo
Kila mtu afanye anachopenda lakini badilikenii kujipiga deki ni noumaaaaaa sanaaaaaaaa
Hupendi huu uzi soma tu usikomenti.
wabhejaaaaaaaa😱😱😱😱😱😱😱
nilistuka mimi wewe!
was like,enh huyu bi chau au bibi chau?
wamejichubua sura zimenyonyoka kama paka mweusi aliyemwagiwa maziwa.....
uuuuupsi ina maana babu kazeeka hadi original haujui best ooor ndo mapenzi nipoteze kama ndege ya malaysia
Kuna siku nlipanda daladala kuna mmama kajichubua hadi kababuka mashavu...loh
hem ngoja kwanza!
umesema sura zimenyonyoka kama wat?
Mbona Khadija Kopa ana rangi yake natural hadi raha.
Wakijiziba mdomo kwa mkono unawezahisi amepigwa kabali, mkono mweusii..
kuna yule mdada wa kinondoni..jina kapuni a.k.a mama manywele tooooba sura imelendemka utafikiri mlenda na zile kope za bandia kama jini vile.....akilowa na mvua na zile makeup sijui itakuweje