ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,378
- 118,795
Mikumi chalinze wameandamana
Unajua madhara ya dawa zinazowekwa kwenye nywele ili zitoke kwenye uasili wake?
Madhara yake ni sawa na yale ambayo anayapata anaebadili ngozi yake
Hahaa baadae wataandamana hadi Wanyalu
..na wewe Ni #team-piga-deki nini??
Na wewe kumbe #team-naturale ...much luv tu u
Khantwe siku nikiwa na muda nitaandika how to make shower gel itakayokufanya uwe soft na mng'ao asilia You Will love it. Am addicted to it....Na wewe kumbe #team-naturale ...much luv tu u
Much love to you too.... mi nachurale kuanzia nywele hadi miguuni. The only thing ninayoadd ni wanja lipgloss .kipilipili changu kifupi huyooooooo
Hahahah mi mapouder tu baas
weka picha
Hahahaahaa....mapouder sijui mara ya mwisho nilipaka lini... The only thing am addicted to is a lipgloss.... naenda nayo kila sehemu
Pliz pliz usikawie kuleta hiyo kitu aisee tena ukiweka untag
Pliz pliz usikawie kuleta hiyo kitu aisee tena ukiweka untag