Akili ndogo sana hizo. leo miaka 3 na ushee tangu aingie madarakani watumishi wa umma hawajaongezewa mshahara hawa nao ni mafisadi? hata dada wa kazi kaongezwa mara mbili au zaidi sembuse mtaalamu. wastaafu zaid ya 3000 hawajalipwa mafao yao hayo ni kwasababu ya mafisadi? waliostaafu (wa pensheni ) hawajalipwa tangu oktoba hao nao ni mafisadi. mikopo kwa wanafunzi inapungua kwa sababu ya mafisadi? watu hawana pesa mkiulizwa mnasema walikuwa wajanja wajanja... mmeminya uhuru wa watu kwa ushamba wenu...Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.
Unaweza kututajia mafisadi japo kumi tu walioitafuna nchi hii?
Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.
Exactly!WHAAAAAAAAT😈😈😈!!!
Hahaahhaaaaaaaaaaa,naona unakwepa kwepa majina fulani!Vp hawa mbona hawajaingia kwenye top ten yako?Sioi Sumari, Lowassa, Seth, Rugemalila, Sumaye, Kitilya, Jamal Malinzi, Kabourow Na Evans Aveva!
Tayari 10 hao
Hahaahhaaaaaaaaaaa,naona unakwepa kwepa majina fulani!Vp hawa mbona hawajaingia kwenye top ten yako?
-Chenge,Tibaijuka,Ngeleja,JK,Mkapa,JPM,Mkono, na Mramba?
Au unasubiri wahame vyama ndio uwataje?
Ni kwanini Lowasa na Sumaye wako huru badala ya kuburuzwa katika mahakama ya mafisadi ambayo majengo yake mmeamua kufugia popo??Sioi Sumari, Lowassa, Seth, Rugemalila, Sumaye, Kitilya, Jamal Malinzi, Kabourow Na Evans Aveva!
Tayari 10 hao
Hapana,ila nilipokuuliza hilo swali nilijua tu utaegemea wapi!Najua lowassa na Sumaye wakirudi CCM top ten yako itakuwa na adjustments!Kila Mtu Na top ten yake
Au ulitaka nitaje top ten yako?
Swali la ziada!Naona wote uliowataja walifanya ufisadi wakiwa CCM au walishirikiana na wanaCCM!Kila Mtu Na top ten yake
Au ulitaka nitaje top ten yako?
Barabara gani alizojenga huyo, oh sorry kuna ile ya Mwenge-MoroccoWanapinga huku wakipita kwenye hayo mabarabara na madaraja? Pia na ndege wanapanda? Mashenzi hayo. Yapotezee!!!!!1
Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.
Binaadam haachi kusema, Magu aendelee na kazi yake.Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.
Tatizo mmezuia siasa mnataka nyie tu ndo msikilizwe. Acheni wengine watoe maoni yao mbadala.Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.
Sakata la IPTL, escrow, Richmond na mengineyo chadema walihusika??Chadema ni timu mafisadi
Tuko nae muda woote,yeye ndiye rais na mkombozi wetu.Utafiti makini na wa kina uliofanywa na team ya wadadisi makini wa mambo ni kwamba mafisadi, majizi, majitu yenye husuda na chuki dhidi ya nchi yetu ndani na nje ya Nchi yameungana pamoja dhidi ya Magufuli kuhakikisha kwamba hafanikiwi katika dhamira yake ya kuileta Tanzania tuitakayo. Ishara kuu ya majitu haya ni kupinga kila zuri analofanya JPM. Kumkatisha tamaa na kum frustrate ndio mana kila anapofanya zuri mfano kuzindua barabara ya njia nane yenyewe yanapinga, akizindua daraja la kupita majini yenyewe yanapinga, akijenga madaraja ya juu yenyewe yanapinga, akinunua ndege mpya yenyewe yanapinga....Magu yeye asiyumbe. Ashikilie hapo hapo.